Chizi Fureshi
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 1,718
- 462
Kwani uliambiwa vijana hao wote ni chadema?
Wapi nimetaja TLP, CUF, NCCR, CDM au CCM?
Kwani uliambiwa vijana hao wote ni chadema?
CCM inavuna ilichokipanda na itaendelea kuvuna maana walichotufanyia waTZ hakisahauliki:
chuki walizopandikiza kwa madaktari (dr. uli),
chuki walizopandikiza kwa waandishi wa habari (daudi mwangosi na kibanda),
chuki walizopandikiza kwa waalimu (kumbuka matokeo ya form four),
chuki walizopandikiza kwa milipuko ya mabomu,
chuki walizopandikiza kwa waTZ kwa kukaa miaka 50 madarakani bila kufanya cha maana,
chuki walizopandikiza kwa wanyama wa mbugani kwa kushindwa kuyawajibisha maharamia wanaoiba meno ya tembo,
chuki walizopandikiza kwa vijana kwa kushindwa kuzalisha ajira na matokeo yake vijana wanaishia kujiingiza mkenge wa kula na kusafirisha unga na kushinda vijiweni.
hakika CCM haitapona.
naenda zangu Lumumba kuchukua buku 7 kwa Nape.
Mamndenyihamchoki na dharau
Mamndenyi
Dharau ipo wapi hapo? Huo ndio ukweli wenyewe usiogope kuwa mkweli eti kwasababu utaudhi watu!
Msidanganyike;
waasherati hawaurithi Ufalme wa Mungu, wala
waabudu sanamu, wala
walawiti, wala
wazinzi, wala
wafiraji, wala
walawiti, wala
wevi, wala
watukanaji, wala
wanyanganyi. (1
Wakorintho 6:9,10).
Mapadri wasiowaadilifu kabla ya kuingilia wanakwaya walianza na vijana wa kiume nina uhakika umenielewa sina haja kufunguka sana Bavicha wanaweza wakatoa ban lakini huo ndio ukweli wenyewe; hana hata chemebe moja ya utakatifu; ndio maana hadi leo hii anazini na haoni haya wala aibu!