miaka mitano ya Magufuli tunaishi kwa hofu, maendereo ya aina yoyote hayana maana, nyomi za lissu ni kwa sababu watu wamepata natumaini ya kuwa huru tena na kuishi kwenye nchi ya haki.Have a shame hakuna maendeleo kwa 58 yrs SIO KWELI
TANU ni CCM ilibadilishwa jina tu mwaka 1977 ila itikadi na watu ni wale wale, they must go now.Get your arithmetics (simplest of mathematics) right!
KBla ya 1977 CCM haikuwepo.
WRONG!TANU ni CCM ilibadilishwa jina tu mwaka 1977 ila itikadi na watu ni wale wale, they must go now.
The founder of TANu and the founder of Sisiemu is the same person Nyerere , As well ccm transformed from Asp and Tanu, means Ccm came from the wombs of TANU In simplest estimation Ccm have ruling power Almost 58 yrs. Under the same people.WRONG!
CCM ni hybrid ya TANU na ASP, get your facts right.
TANU siyo CCM.
WRONG AGAIN.The founder of TANu and the founder of Sisiemu is the same person Nyerere , As well ccm transformed from Asp and Tanu, means Ccm came from the wombs of TANU In simplest estimation Ccm have ruling power Almost 58 yrs. Under the same people.
So unataka kusemaje ccm was transformed from which parties.?WRONG AGAIN.
Unajua maana ya Mapinduzi kwenye CCM , jina lilikujaje?
Na je unajua kwamba Mwenyekiti wa kuunganisha TANU na ASP alikuwa mzee Thabit Kombo?
Jibu mbona unalo!So unataka kusemaje ccm was transformed from which parties.?
Oyoooooo kitabu ANGUKO LA FASHISTI nasikia kinachapwa sijui wapi....Mwanzo nilijua masihara lakini sasa naona kuna ukweli, kuna baadhi ya viongozi wamejiandaa kukimbia. Kuna wanne wameondoa hela zao zote CRDB na kuzihifadhi nyumbani.