MAONO YA KINYONGA WA KIJANI na MANJANO.
Mwona maono Fulani aliona Kinyonga akiyameza mayai yake na kupanda juu ya mti mrefu,
Nia ya kupanda juu ya mti ni kujiachia Kutoka JUU ya mti Ili kuliangukia jiwe lililo chini ya mti, tumbo lipasuke na watoto watoke wakiwa hai.
Kinyonga aliliangukia jiwe na tumbo lake likipasuka kama alivyodhamiria bt Cha kuhuzunisha ni kuwa, hakuna mtoto aliyetoka hai, sababu ni kuwa mayai hayakuwa yamekamilisha siku zake za kuanguliwa.
RANGI ya mayai ni MEUPE, bt tumbo lilipopasuka, vilionekana vipande vya maganda ya mayai RANGI Nyeupe, na Damu yenye RANGI RED kutokana na mayai kupasuka, pia Kinyonga aliaga Dunia.
Nia ya Kinyonga ilikuwa njema. Bt muda haukuwa sahihi.
CCM ni Kinyonga, anaenda kufa baada ya 2026, bt maandalizi ya mrithi Bado hayaendi vizuri.
CCM haijakiandaa chama Cha kuja kurithi CCM. Vyama vilivyopo havijawa Bado na uwezo wa kuendesha Nchi, kiitikadi, kimaadili, kimfumo nk.
Nyerere: Bila CCM imara, Nchi itayumba.
Tusubiri.