CCM ni kinyonga

CCM ni kinyonga

MAONO YA KINYONGA WA KIJANI na MANJANO.

Mwona maono Fulani aliona Kinyonga akiyameza mayai yake na kupanda juu ya mti mrefu,

Nia ya kupanda juu ya mti ni kujiachia Kutoka JUU ya mti Ili kuliangukia jiwe lililo chini ya mti, tumbo lipasuke na watoto watoke wakiwa hai.

Kinyonga aliliangukia jiwe na tumbo lake likipasuka kama alivyodhamiria bt Cha kuhuzunisha ni kuwa, hakuna mtoto aliyetoka hai, sababu ni kuwa mayai hayakuwa yamekamilisha siku zake za kuanguliwa.

RANGI ya mayai ni MEUPE, bt tumbo lilipopasuka, vilionekana vipande vya maganda ya mayai RANGI Nyeupe, na Damu yenye RANGI RED kutokana na mayai kupasuka, pia Kinyonga aliaga Dunia.

Nia ya Kinyonga ilikuwa njema. Bt muda haukuwa sahihi.

CCM ni Kinyonga, anaenda kufa baada ya 2026, bt maandalizi ya mrithi Bado hayaendi vizuri.

CCM haijakiandaa chama Cha kuja kurithi CCM. Vyama vilivyopo havijawa Bado na uwezo wa kuendesha Nchi, kiitikadi, kimaadili, kimfumo nk.

Nyerere: Bila CCM imara, Nchi itayumba.

Tusubiri.
Sawa wacha tusubiri.
 
Vyovyote iwavyo iwe mama anania njema au kuna jambo ameficha moyoni mwake lakini hatua aliyoifikia so far so good lazima tumpongeze, hatutaki turudi kule tulipokuwa.

Shida kubwa ni hawa chawa na mafidhina.
Nia njema ndio hii ?
Screenshot_20230309-085137.jpg
FB_IMG_1678340147113.jpg
FB_IMG_1678340219864.jpg
 
Katika maraisi wa hovyo basi Jiwe alikuwa wa hivyo sana, kifo chake kimetokana na damu za watu zilizo mwajika.
Na vifo vya Mkapa na Nyerere vilitokana na nini ?
 
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kina sifa na tabia ya kubadilika badilika kama kinyonga.

Kinyonga anabadilika rangi kutokana na mazingira aliyopo lakini kamwe mwili wa kinyonga haubadiliki kuwa wa ng'ombe au mbuzi.

Kinyonga atabadili rangi lakini siku zote hataendelea kutambulika kama kinyonga.

Wafuasi, wanachama na viongozi wa vyama vya siasa vya upinzani kumwamini kinyonga huyu kutokana na kujibadili rangi kutokana na mazingira ya sasa ni kujidanganya.

Wengi wameingia katika mtego huu wa huyu kinyonga na kupotea kwa kudhani kuwa amebadilika na kuwa mbuzi, huku wakisahau kuwa yeye ni kinyonga na ana tabia za kubadili rangi kutokana na mazingira aliyopo.

CUF, NCCR next CHADEMA.

KINYONGAView attachment 2542164
Nchi hii hakuna upinzani,bali kunawachumia matumbo kwa kivuli cha vyama vya siasa,usifikiri hao wapinzani uchwara hawajui watendalo.kifupi wanalamba asali vyema sana,na hayo ndio maridhiano.

Tofauti ya uongozi huu na uliopita ni kwamba hayati Magufuli hakutaka unafiki,hawa wa sasa unafiki na hadaa ndio kipaumbele chao,
Ndio maana Magufuli alichukiwa sana na hivi sasa wanahangaika na mzimu wake
 
Lazima tupime alisema wapi lini akiwa kwenye hali gani! Jambo jema ni nia aliionyesha kuhakisha vyama vinafanya kazi yake ya siasa hayo mengine ambayo ameahidi asipo tekeleza tutamuhukumu kuanzia hapo.

Najua wengi mna roho kama ya jiwe roho mbaya mbaya tu na chuki za wazi na hili linawagusa sana, as if sio watanzania.
20230309_134527.jpg
 
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kina sifa na tabia ya kubadilika badilika kama kinyonga.

Kinyonga anabadilika rangi kutokana na mazingira aliyopo lakini kamwe mwili wa kinyonga haubadiliki kuwa wa ng'ombe au mbuzi.

Kinyonga atabadili rangi lakini siku zote hataendelea kutambulika kama kinyonga.

Wafuasi, wanachama na viongozi wa vyama vya siasa vya upinzani kumwamini kinyonga huyu kutokana na kujibadili rangi kutokana na mazingira ya sasa ni kujidanganya.

Wengi wameingia katika mtego huu wa huyu kinyonga na kupotea kwa kudhani kuwa amebadilika na kuwa mbuzi, huku wakisahau kuwa yeye ni kinyonga na ana tabia za kubadili rangi kutokana na mazingira aliyopo.

CUF, NCCR next CHADEMA.

KINYONGAView attachment 2542164
Kama chadema imeshimdikana kufa kipindi Cha MEKO basi kabla hujafa chadema itakuwa chama tawala nipo pale.
 
Vp kuhusu kifo Cha Mkapa aliyetangulia kabla ya Magu?
Unakumbuka mauwaji aliyoyafanya Januari 2001 hadi wapemba wakahamia Shimoni?

Kwa mara ya kwanza Tanzania ilitoa wakimbizi wakati wa Mkapa.
 
Unakumbuka mauwaji aliyoyafanya Januari 2001 hadi wapemba wakahamia Shimoni?

Kwa mara ya kwanza Tanzania ilitoa wakimbizi wakati wa Mkapa.
Kama ni hivyo Itakuwaje sasa kuhusu Maasai waliouawa ngorongororo.
 
Back
Top Bottom