ASIWAJU
JF-Expert Member
- Nov 18, 2022
- 1,939
- 1,625
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kina sifa na tabia ya kubadilika badilika kama kinyonga.
Kinyonga anabadilika rangi kutokana na mazingira aliyopo lakini kamwe mwili wa kinyonga haubadiliki kuwa wa ng'ombe au mbuzi.
Kinyonga atabadili rangi lakini siku zote hataendelea kutambulika kama kinyonga.
Wafuasi, wanachama na viongozi wa vyama vya siasa vya upinzani kumwamini kinyonga huyu kutokana na kujibadili rangi kutokana na mazingira ya sasa ni kujidanganya.
Wengi wameingia katika mtego huu wa huyu kinyonga na kupotea kwa kudhani kuwa amebadilika na kuwa mbuzi, huku wakisahau kuwa yeye ni kinyonga na ana tabia za kubadili rangi kutokana na mazingira aliyopo.
CUF, NCCR next CHADEMA.
KINYONGA
Kinyonga anabadilika rangi kutokana na mazingira aliyopo lakini kamwe mwili wa kinyonga haubadiliki kuwa wa ng'ombe au mbuzi.
Kinyonga atabadili rangi lakini siku zote hataendelea kutambulika kama kinyonga.
Wafuasi, wanachama na viongozi wa vyama vya siasa vya upinzani kumwamini kinyonga huyu kutokana na kujibadili rangi kutokana na mazingira ya sasa ni kujidanganya.
Wengi wameingia katika mtego huu wa huyu kinyonga na kupotea kwa kudhani kuwa amebadilika na kuwa mbuzi, huku wakisahau kuwa yeye ni kinyonga na ana tabia za kubadili rangi kutokana na mazingira aliyopo.
CUF, NCCR next CHADEMA.
KINYONGA