kilulu
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 282
- 57
Chama cha Mapinduzi (CCM) ni chama cha siasa kama vilivyo vyama vingine kama CHADEMA ,CUF , NCCR n.k, CCM wamekuwa wakibeza sana muungano wa hivi vyama 3 vilivyoungana, swali ni je, wao hawawezi kuungana na ACT, TLP kuunda nguvu ya umoja wao?
Kwa kuwa ni chama kinachoshika dola hakiwezi kuwa na umoja wao na ACT na TLP? ama CCM wameishiwa sera ndo maana wanaibeza UKAWA?
Nawasilisha.
Kwa kuwa ni chama kinachoshika dola hakiwezi kuwa na umoja wao na ACT na TLP? ama CCM wameishiwa sera ndo maana wanaibeza UKAWA?
Nawasilisha.