Shalom
JF-Expert Member
- Jun 17, 2007
- 1,315
- 124
jamani mimi huyu ndo amenisikitisha kabisa.........ni mpendwa hasa ila hapa kachemka......huwa anadai kuwapeleka watu kwa heaven kwa sir god,chaajabu leo anawasindikiza watu upotevuni......imeniuma kinoma,yaani naandika moyo unahasiraa kinomi.
Nimenotice kitu kimoja,majority wa watumbuizaji na njaa tu,kukosa uzalendo,uelewa mdogo and mostly are are after money.wote walioitwa maboya na shule ndogo.......wangemuita mpoto...........
Bora ata mdada wa b.o.t yeye alikuwa anamuimbia mumewe....heri yake!!
Kwa kweli inatia huruma sana watu wengi huwa wanafikiria kuwa kumkana yesu lazima uulizwe mara tatu kama petro kumbe inaweza kuwa mara moja tu!