The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,885
Nilishangaa kumuona dokii kwenye mkutano wa ccm,
mara flora mbasha mara marlaw........
Sijui kama ni burudani au ni kuganga njaa....
But honestly ....nimeona kama hawa wasanii wamejidhalilisha hivi....
Halafu msanii akishafulia kama dokii ukija kumuona
kwenye mkutano wa ccm ....
You just feel pity..........
Wasanii hawa nimeona kama wamejishusha hivi.....
Sijui nyinyi mnaonaje........
mara flora mbasha mara marlaw........
Sijui kama ni burudani au ni kuganga njaa....
But honestly ....nimeona kama hawa wasanii wamejidhalilisha hivi....
Halafu msanii akishafulia kama dokii ukija kumuona
kwenye mkutano wa ccm ....
You just feel pity..........
Wasanii hawa nimeona kama wamejishusha hivi.....
Sijui nyinyi mnaonaje........