CCM na Magufuli mmejifunza nini?

CCM na Magufuli mmejifunza nini?

Uchanguzi wa mwaka huu ulikuwa auna ushindan kwakuwa warioudhulia katika kupinga kula ni wachache wengi tayari walikuwa wamekwisha mtambua mshind ni nani kiongoz yoyote Tanzania tangu nizaliwe sijawahi kuona katolewa madarakan baada ya miaka 5 wengi wao wamemaliza miaka ypte 10 nadani ushindan utakuwa mkubwa mwaka 2030.
 
Maana yake kinachomfira Mama yako.

Nishakwambia sitaki kujibizana na guluguja.
Safiiii sanaa maana sahihi kabisaaa... Alafu una majibu mazuri kinoma brooo nacheka tu... Sasa ivi kwani we unaumri gani??
 
Democrasia ya kweli na uchaguzi ulio huru na haki utakujakuwepo pale tu mambo haya yatakapofanyiwa kazi🙁1)katiba mpya ambayo upatikanaji wake,wajumbe wa bunge la katba nusu ya wajumbe wawe chama tawala nusu wapinzani wa ukweli na wanaharakati na wataalamu wasiokuwa na upendeleo wa chama chochote cha siasa wanaoangalia maslahi ya taifa(2)tume huru ya uchaguzi yenye wajumbe exactly nusu wapinzani wa kweli na wanaharakati na wataalamu wasio na upendeleo wa itikadi za vyama vya siasa,na nusu ccm wa ukweli,(3/wasimamizi wa uchaguzi kwa kila kituo na kila jimbo,nusu ya wasimamizi wawe wapinzani na nusu wa chama tawala."Muujiza huu ukitokea, tutakuwa na uchaguzi huru na wa haki.

KATIBA MPYA is just a single step ahead...

KATIBA MPYA peke yake haiwezi kuwa suluhu ya demokrasia Tanzania..

Unajua USA kunatokea nini sasa baada ya uchaguzi wa Rais wa nchi yao?

Donald Trump anafanya jaribio la kung'ang'ania WHITE HOUSE pamoja na nchi hiyo kuwa na TAASISI IMARA ZA KIUTAWALA zilizojengwa katika msingi thabiti wa KATIBA ya nchi hiyo na ambazo kamwe haziwezi ku - compromise na watawala..!

Unajua kwanini?

Ni kwa sababu, licha ya KATIBA nzuri, lakini sharti uzuri huo uende sambamba na;

1. Utashi binafsi na huru wa kisiasa wa viongozi wenye mamlaka na maamuzi..

2. Uwazi katika utekelezaji na uendeshaji wa serikali..

3. Viongozi wenye mamlaka ya maamuzi kuwa na utoshelevu na kurudhika na kutokuwa na tamaa ya visivyo halali yao...
 
Salaam....

Niseme tu kama kuna uchaguzi wa kibabe kuwahi kutokea basi ni huu. Ni mwaka huu ndo nimeiona IDARA ikitoa funzo kubwa sanaaa kwa CCM na baba mkuu...

Wengi mtabeza ila ukweli ni kwamba hii naweza kuita oparation kubwa IDARA kuwahi kuifanya pamoja na kwamba imejaa udhaifu ila imefanikiwa kwa 100%
CCM chunguzeni mchakato wenu wote wa ndani mtagundua hawa watu walikua all over your places wagombea wote waliangaliwa na kufanyiwa tathimi na hawa jamaa CHAMA ilikuwa ni kukamilisha taratibu tu.

Mtakao beza hizi jitihada shauri enu ila haya ni maoni yangu.

1. Labda Ilihitajika namna na kumuonesha mkuu na chama kwamba kuna watu wakiamua kitu lazima kiwe na kwamba yeye na chama wapo pale kwa sababu kuna watu wametaka wawepo kiburi na jeuri si kitu kwao na wakiamua wanaweza kuwaondoa pia.

2. Labda ni mpango wa kuingiza siasa mpya nchini kuelekea 2025 kupata wapinzani wa kweli na sio tuliowazoea mana tayri walikosa madoa ya uzalendo kwa nchi na amini kwamba huu ndio ukweli CHADEMA kuruhusu LISSU kugombea kiusalaMA lilikua kosa kubwa hasa kwa aina siasa za LISSU.

3. Kama wasingekua hawa watu Lissu asingemaliza kampeni zake na hili wengi watalikataa ila ndo ukweli mchungu hawa watu walimuhakikishia Lissu ulinzi wote na siku zote hawakutaka kabisa aguswe.. so walijua wanaenda kumuulia wapi.

4.Siasa ni hesabu na kuna watu wanazicalculate usiku na mchana usishangae hesabu za mwaka huu zikawa kuidhoofisha CCM miaka 10 ijayo ikiwa n pamoja na kuibua chama kipya achenye ushawishi kwa wananchi mana upinzania wa sasa unamadhaifu mengi kimfumo.

5. Kama CCM inahisi bunge ni lao wanakosea hawa watu wapo kila kona ya bunge na msishangae ukatokea mvurugano mkubwa bungeni kuhakikisha utendaji unakamilika.

CCM na MKUU haya ni yangu hawa watu wapo kila mahali na wanaweza kufanya lolote muda wowote bila kujali yoyote ila maslahi ya usalama wa nchi. Huu mziki CCM wameucheza bila wao kujua madhara yake kifuatacho mimi na wee tuwape muda walioplan huu mchezo hafi mwisho na kama waliuplan bila kujipanga TUMEKWISHA.
Takataka
 
Baadhi ya Watz wanaonufaika katika mfumo wa utawala wa Magufuli wangependa atawale milele.

Lakini Watz wengi (majority) waliopigika katika hii miaka 5 iliyopita hawataki kusikia "utawala wa milele".

Juu ya yote Magufuli anayo nafasi katika hii miaka 5, kufanya marekebisho ya mfumo wa utawala/uongozi wake na uwe ni Kazi na bata na sio hapa kazi tuuuu bila kuangalia welfare za watu kwanza, akifanya hivyo, hata akistaafu au atake kuendelea kutawala/ kuongoza milele hakutakuwa na kikwazo kwani atakuwa yumo mioyoni mwa watu wengi. Kumbuka Magu kavuruga uchumi wa nchi na hivyo uchumi wa jamii vibaya sana.
Naomba nikuweke sawa Mkuu 'sinufaiki' na lolote katika Mfumo wa Serikali hii ya Rais Magufuli, ila nampenda na namkubali kama Hayati Sokoine.
 
Lakini ni kheri angekua rais wa mhula mmoja mwenye amani kuliko hali aliyonayo sasa hivi.
Hii ni dhana yako tuu, kama kweli alipanga anakuogopa wewe ? au ana muogopa nani ?Tumenyooshwa cha msinngi Sisi tujipange kulia lia hakutusaidii hata kidogo.


These are political games are bound to be played in many election circles to come.

The coming elections the party must be perfectly prepared to withstand against these challenges and the likes.

Kama hatukua na pesa ya kuendesha kampeni ya mgombea Urais, ingewezekana vipi tuweze kuwalipa Mawakala nchi Nzima? Ni zaidi ya billion 2 zilitakiwa.

Au tunalazimishwa ujinga na viongozi tukabiliane nao ili mapungufu muhimu yasizungumzwe?

Picha za mgombea urais tulishindwa kutengeneza kwa kukosa pesa, tuna shangaa nini? Tumevuna tuli tulichopanda.
 
Salaam....

Niseme tu kama kuna uchaguzi wa kibabe kuwahi kutokea basi ni huu. Ni mwaka huu ndo nimeiona IDARA ikitoa funzo kubwa sanaaa kwa CCM na baba mkuu...

Wengi mtabeza ila ukweli ni kwamba hii naweza kuita oparation kubwa IDARA kuwahi kuifanya pamoja na kwamba imejaa udhaifu ila imefanikiwa kwa 100%
CCM chunguzeni mchakato wenu wote wa ndani mtagundua hawa watu walikua all over your places wagombea wote waliangaliwa na kufanyiwa tathimi na hawa jamaa CHAMA ilikuwa ni kukamilisha taratibu tu.

Mtakao beza hizi jitihada shauri enu ila haya ni maoni yangu.

1. Labda Ilihitajika namna na kumuonesha mkuu na chama kwamba kuna watu wakiamua kitu lazima kiwe na kwamba yeye na chama wapo pale kwa sababu kuna watu wametaka wawepo kiburi na jeuri si kitu kwao na wakiamua wanaweza kuwaondoa pia.

2. Labda ni mpango wa kuingiza siasa mpya nchini kuelekea 2025 kupata wapinzani wa kweli na sio tuliowazoea mana tayri walikosa madoa ya uzalendo kwa nchi na amini kwamba huu ndio ukweli CHADEMA kuruhusu LISSU kugombea kiusalaMA lilikua kosa kubwa hasa kwa aina siasa za LISSU.

3. Kama wasingekua hawa watu Lissu asingemaliza kampeni zake na hili wengi watalikataa ila ndo ukweli mchungu hawa watu walimuhakikishia Lissu ulinzi wote na siku zote hawakutaka kabisa aguswe.. so walijua wanaenda kumuulia wapi.

4.Siasa ni hesabu na kuna watu wanazicalculate usiku na mchana usishangae hesabu za mwaka huu zikawa kuidhoofisha CCM miaka 10 ijayo ikiwa n pamoja na kuibua chama kipya achenye ushawishi kwa wananchi mana upinzania wa sasa unamadhaifu mengi kimfumo.

5. Kama CCM inahisi bunge ni lao wanakosea hawa watu wapo kila kona ya bunge na msishangae ukatokea mvurugano mkubwa bungeni kuhakikisha utendaji unakamilika.

CCM na MKUU haya ni yangu hawa watu wapo kila mahali na wanaweza kufanya lolote muda wowote bila kujali yoyote ila maslahi ya usalama wa nchi. Huu mziki CCM wameucheza bila wao kujua madhara yake kifuatacho mimi na wee tuwape muda walioplan huu mchezo hafi mwisho na kama waliuplan bila kujipanga TUMEKWISHA.
Pumba tupu mwanzo mwisho.
 
Naomba nikuweke sawa Mkuu 'sinufaiki' na lolote katika Mfumo wa Serikali hii ya Rais Magufuli, ila nampenda na namkubali kama Hayati Sokoine.
Ndege imepaa, watu wanabadili gia angani. Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 

1605303593583.png
 
Naomba nikuweke sawa Mkuu 'sinufaiki' na lolote katika Mfumo wa Serikali hii ya Rais Magufuli, ila nampenda na namkubali kama Hayati Sokoine.


Mkuu, Hayati Sokoine na Rais Magufuli ni madaraja tofauti kabisa.

Sokoine alikuwa na Hekima na Busara kubwa kitu muhimu katika uongozi wa umma.
 
KATIBA MPYA is just a single step ahead...

KATIBA MPYA peke yake haiwezi kuwa suluhu ya demokrasia Tanzania..

Unajua USA kunatokea nini sasa baada ya uchaguzi wa Rais wa nchi yao?

Donald Trump anafanya jaribio la kung'ang'ania WHITE HOUSE pamoja na nchi hiyo kuwa na TAASISI IMARA ZA KIUTAWALA zilizojengwa katika msingi thabiti wa KATIBA ya nchi hiyo na ambazo kamwe haziwezi ku - compromise na watawala..!

Unajua kwanini?

Ni kwa sababu, licha ya KATIBA nzuri, lakini sharti uzuri huo uende sambamba na;

1. Utashi binafsi na huru wa kisiasa wa viongozi wenye mamlaka na maamuzi..

2. Uwazi katika utekelezaji na uendeshaji wa serikali..

3. Viongozi wenye mamlaka ya maamuzi kuwa na utoshelevu na kurudhika na kutokuwa na tamaa ya visivyo halali yao...


Ndiyo maana sio kila mtu anaweza kuwa kiongozi wa umma, nilazima pia kabla mtu hajakabidhiwa uongozi wa umma apimwe na akaguliwe historia ya maisha yake huko nyuma.
 
Ndege imepaa, watu wanabadili gia angani. Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Ni 'Mpumbavu / Popoma' tu pekee ndiyo muda wake wote hapa JamiiForums hajajua kuwa GENTAMYCINE ni mwana CCM tena 'lia lia' kabisa na hata wakati wa Kampeni za CCM kuanzia 2015 na hizi za juzi tu 2020 nimekuwa 'Kinara' wa 'Kumkapenia' Rais Dk. Magufuli. Na uzuri ni kwamba 'Ushahidi' ulio 'Kuntu' kabisa wa hiki nikisemacho hapa kwa 'Kijiamini' kipo hapa katika 'Threads' zangu. Ukiona 'namsema' Rais wangu na Chama changu CCM ni katika kukiweka sawa na wapo 'Waandamizi' wanaonishukuru kwa hilo katika 'PM' yangu. Pole kwa kuwa Mgeni Kwangu.
 
Back
Top Bottom