KATIBA MPYA is just a single step ahead...
KATIBA MPYA peke yake haiwezi kuwa suluhu ya demokrasia Tanzania..
Unajua USA kunatokea nini sasa baada ya uchaguzi wa Rais wa nchi yao?
Donald Trump anafanya jaribio la kung'ang'ania WHITE HOUSE pamoja na nchi hiyo kuwa na TAASISI IMARA ZA KIUTAWALA zilizojengwa katika msingi thabiti wa KATIBA ya nchi hiyo na ambazo kamwe haziwezi ku - compromise na watawala..!
Unajua kwanini?
Ni kwa sababu, licha ya KATIBA nzuri, lakini sharti uzuri huo uende sambamba na;
1. Utashi binafsi na huru wa kisiasa wa viongozi wenye mamlaka na maamuzi..
2. Uwazi katika utekelezaji na uendeshaji wa serikali..
3. Viongozi wenye mamlaka ya maamuzi kuwa na utoshelevu na kurudhika na kutokuwa na tamaa ya visivyo halali yao...