CCM na Magufuli mmejifunza nini?

CCM na Magufuli mmejifunza nini?

Yani hiyo idara yenye umakini wote huo ndiyo iliyompitisha Magufuli?


Shida ni ubinafsi, maslahi ya vyeo vya muda mfupi dhidi ya maslahi mapana ya umma na njaa inapotoka tumboni na kuingia kichwani. Hapa ndipo utaona tofauti kubwa kati ya wazungu na waafrika/ jamii zingine.

Shida/njaa ni nusu ya ukafiri.
 
Democrasia ya kweli na uchaguzi ulio huru na haki utakujakuwepo pale tu mambo haya yatakapofanyiwa kazi🙁1)katiba mpya ambayo upatikanaji wake,wajumbe wa bunge la katba nusu ya wajumbe wawe chama tawala nusu wapinzani wa ukweli na wanaharakati na wataalamu wasiokuwa na upendeleo wa chama chochote cha siasa wanaoangalia maslahi ya taifa(2)tume huru ya uchaguzi yenye wajumbe exactly nusu wapinzani wa kweli na wanaharakati na wataalamu wasio na upendeleo wa itikadi za vyama vya siasa,na nusu ccm wa ukweli,(3/wasimamizi wa uchaguzi kwa kila kituo na kila jimbo,nusu ya wasimamizi wawe wapinzani na nusu wa chama tawala."Muujiza huu ukitokea, tutakuwa na uchaguzi huru na wa haki.
 
Unaposema wa tz hawamtaki! Unamaanisha kwamba Lissu alishinda au? Tuliwaambia hamkusikia!,kura hazipigwi Jf! Hivi kwa akili zenu mlitegemea Lissu atashinda mbele ya Jpm?


Kashinda kwa Kura maruhani (ghost votes), zilizoandaliwa mapema kabla ya uchaguzi.

"Sauti ya umma ni sauti ya Mungu"

Utamsikia; " tumeyadhibiti majizi ya mali za umma", mnajisahau kumbe nyinyi ndio majizi ya haki za umma.
 
Kashinda kwa Kura maruhani (ghost votes), zilizoandaliwa mapema kabla ya uchaguzi.

"Sauti ya umma ni sauti ya Mungu"

Utamsikia; " tumeyadhibiti majizi ya mali za umma", mnajisahau kumbe nyinyi ndio majizi ya haki za umma.
Kura zipi zilizoaandaliwa mapema wewe! Hivi mlitegemea hata huyo TL wenu atapata kura 1M kwanza ashukuru! Acheni upopoma !.Uchaguzi mmeshashindwa ! Kama kaonewa Si mngejitokeza kuandamana barabarani sasa kama mlivyotuaminisha! mbona hamkufanya sasa ! Au maandamano yapo Jf?.
 
Mi mwenyewe nahisi

Mkuu hiyo idara pia nadhani imefahamu kuwa inawalazimisha watanzania kuongozwa kwa shuruti, na sio kwa ridhaa yao. Maana 2/3 hawakujitokeza kupiga kura, maana hiyo 1/3 bado wote hawakuipa kura ccm. Nadhani saa hii wanamaliza kuhesabu kura kujua ukweli kuwa ccm sio chama cha kizazi hiki na zama zake zimepita.

Hilo la hiyo idara kuanzisha chama kingine cha siasa mbadala wa cdm liko wazi, lakini wana uwezo wa kuanzisha chama kitakacho kubalika na watu? Maana ccm imefanya Siasa yenyewe kwa miaka mitano, lakini bado imeshindwa kushawishi watu, je hicho chama chao ndio kitavutia watu? Tunajua kwenye hili bunge kibogoyo, kutafanyika drama ili kutengeneza mpasuko bandia kwa ajili ya kuleta chama mbadala, lakini watu sasa hivi ni waelewa, wanachagua watakacho na sio wanacholetewa. Mfano mrahisi ni huyo Membe, alitengeneza mpasuko fake ulioratibiwa na hiyo idara. Mbona hajapata mvuto wala kupoteza watu maboya? Ni hivi cdm imeshakuwa, uwezo wa kuia haupo tena, sana sana kutakuwa na wapiga kura wachache sana.
 
Kura zipi zilizoaandaliwa mapema wewe! Hivi mlitegemea hata huyo TL wenu atapata kura 1M kwanza ashukuru! Acheni upopoma !.Uchaguzi mmeshashindwa ! Kama kaonewa Si mngejitokeza kuandamana barabarani sasa kama mlivyotuaminisha! mbona hamkufanya sasa ! Au maandamano yapo Jf?.


Kiongozi ni yule anayeishi ndani ya mioyo ya watu, sio yule anayetegemea nguvu za dola kukaa madarakani, sio yule anayetegemea dola kutisha na kuumiza, kudhuru watu na kuwafunga midomo kwa nguvu za dola.


Uchaguzi uliopita ni uchaguzi mbaya zaidi kuwahi kutokea katika Tanganyika hadi Tanzania huru historia itaandika.
 
Kutokuandamana ndio kuridhika au ni kuwa uchaguzi ulikuwa wa haki? Hizo kura tumeziona kwa macho yetu na wala sio kuhadithiwa.
Kura zipi zilizoaandaliwa mapema wewe! Hivi mlitegemea hata huyo TL wenu atapata kura 1M kwanza ashukuru! Acheni upopoma !.Uchaguzi mmeshashindwa ! Kama kaonewa Si mngejitokeza kuandamana barabarani sasa kama mlivyotuaminisha! mbona hamkufanya sasa ! Au maandamano yapo Jf?.
 
Kiongozi ni yule anayeishi ndani ya mioyo ya watu, sio yule anayetegemea nguvu za dola kukaa madarakani, sio yule anayetegemea dola kutisha na kuumiza, kudhuru watu na kuwafunga midomo kwa nguvu za dola.


Uchaguzi uliopita ni uchaguzi mbaya zaidi kuwahi kutokea katika Tanganyika hadi Tanzania huru historia itaandika.
Mbona unazidi kujichanganya wewe! Kwa hiyo Tundu lissu ndo alikua mioyoni mwa Watanzania sio? Kwamba Watanzania wote walikua wanamkubali yeye?
 
Kutokuandamana ndio kuridhika au ni kuwa uchaguzi ulikuwa wa haki? Hizo kura tumeziona kwa macho yetu na wala sio kuhadithiwa.
Ndo mngeandamana sasa ! Kama alivyo waaminisha TL wenu! Si alisema hapatakalika ! ,Atawaingiza watu barabarani ,Na nyie mlisema Lissu sio Lowassa vipi tena ! Maana hatukutegemea mje kulalama humu! Tuliwaambia Nyie ni Debe tupu hamkusikia!.
 
Magufuli alikua na wasiwasi wa kuwa rais wa kwanza wa mhula mmoja Tanzania. Amefanya aliyoyafanya sasa ameshaapishwa. Lakini ni kheri angekua rais wa mhula mmoja mwenye amani kuliko hali aliyonayo sasa hivi.
Ni vyema kunyamaza wakati mwingine unaboa
 
Mbona unazidi kujichanganya wewe! Kwa hiyo Tundu lissu ndo alikua mioyoni mwa Watanzania sio? Kwamba Watanzania wote walikua wanamkubali yeye?


Sehemu kubwa ya Watz wanamkubali TL, na hii ni kwasababu hali ya uchumi wa Watu karibu wote ni mbaya, maisha ni magumu katika kila kundi la jamii.

Leo mfuko wa cement ni 30000/=, Sukari mwaka 2015 ilikuwa 1800/- leo ni 2500---3000/= kwa kilo, viwanda kadhaa vimefungwa na biashara nyingi kwushilia mbali na zilizopo ni mahututi kutokana na kipigo cha kodi, watu hawana ajira ("lay offs")+ a new unemployed number from higher learning institutions is in the street, it a mess!! ---- in the past 5 yrs, the economic multiplier effect in the society is jammed and ceased. What a mess!!!.

Kwa hali hizo na zingine nyingi ni nani atampenda Bwana huyo???!!
 
Pale mwenyekiti wa Chama cha Masokwe, alipogundua anauwezo wa kuchagua mnyama yeyote kutoka kila mbuga Tanzania akawakilishe wanyama wa mbuga anapotoka, matokeo yake ndio haya

IMG_20201112_201300_686.JPG
 
Ndo mngeandamana sasa ! Kama alivyo waaminisha TL wenu! Si alisema hapatakalika ! ,Atawaingiza watu barabarani ,Na nyie mlisema Lissu sio Lowassa vipi tena ! Maana hatukutegemea mje kulalama humu! Tuliwaambia Nyie ni Debe tupu hamkusikia!.
Sema jamaa nao hawana msimamo
 
Hata "labda" ni neno linaloonesha kutokuwepo uhakika.

Unabashiribashiri na kubahatisha bahatisha inaonekana.
Na ndio ukweli wenyewe mi nimesema ninayohisi
 
DEMOCRASIA YA KWELI NA UCHAGUZI ULIO HURU NA HAKI UTAKUJAKUWEPO PALE TU MAMBO HAYA YATAKAPOFANYIWA KAZI🙁1)KATIBA MPYA AMBAYO UPATIKANAJI WAKE,WAJUMBE WA BUNGE LA KATBA NUSU YA WAJUMBE WAWE CHAMA TAWALA NUSU WAPINZANI WA UKWELI NA WANAHARAKATI NA WATAALAMU WASIOKUWA NA UPENDELEO WA CHAMA CHOCHOTE CHA SIASA WANAOANGALIA MASLAHI YA TAIFA(2)TUME HURU YA UCHAGUZI YENYE WAJUMBE EXACTLY NUSU WAPINZANI WA KWELI NA WANAHARAKATI NA WATAALAMU WASIO NA UPENDELEO WA ITIKADI ZA VYAMA VYA SIASA,NA NUSU CCM WA UKWELI,(3/WASIMAMIZI WA UCHAGUZI KWA KILA KITUO NA KILA JIMBO,NUSU YA WASIMAMIZI WAWE WAPINZANI NA NUSU WA CHAMA TAWALA."MUUJIZA HUU UKITOKEA, TUTAKUWA NA UCHAGUZI HURU NA WA HAKI.
Na kwa akili zako unahisi hili linaezekana
 
Mkuu hiyo idara pia nadhani imefahamu kuwa inawalazimisha watanzania kuongozwa kwa shuruti, na sio kwa ridhaa yao. Maana 2/3 hawakujitokeza kupiga kura, maana hiyo 1/3 bado wote hawakuipa kura ccm. Nadhani saa hii wanamaliza kuhesabu kura kujua ukweli kuwa ccm sio chama cha kizazi hiki na zama zake zimepita.

Hilo la hiyo idara kuanzisha chama kingine cha siasa mbadala wa cdm liko wazi, lakini wana uwezo wa kuanzisha chama kitakacho kubalika na watu? Maana ccm imefanya Siasa yenyewe kwa miaka mitano, lakini bado imeshindwa kushawishi watu, je hicho chama chao ndio kitavutia watu? Tunajua kwenye hili bunge kibogoyo, kutafanyika drama ili kutengeneza mpasuko bandia kwa ajili ya kuleta chama mbadala, lakini watu sasa hivi ni waelewa, wanachagua watakacho na sio wanacholetewa. Mfano mrahisi ni huyo Membe, alitengeneza mpasuko fake ulioratibiwa na hiyo idara. Mbona hajapata mvuto wala kupoteza watu maboya? Ni hivi cdm imeshakuwa, uwezo wa kuia haupo tena, sana sana kutakuwa na wapiga kura wachache sana.
CDM wakiamua kuiua haichukui hata mwaka inasambaa yote amini kwamba.... Kwa upinzani huuuu haihitaji hata akili nyingi kuiua
 
Sehemu kubwa ya Watz wanamkubali TL, na hii ni kwasababu hali ya uchumi wa Watu karibu wote ni mbaya, maisha ni magumu katika kila kundi la jamii.

Leo mfuko wa cement ni 30000/=, Sukari mwaka 2015 ilikuwa 1800/- leo ni 2500---3000/= kwa kilo, viwanda kadhaa vimefungwa na biashara nyingi kwushilia mbali na zilizopo ni mahututi kutokana na kipigo cha kodi, watu hawana ajira ("lay offs")+ a new unemployed number from higher learning institutions is in the street, it a mess!! ---- in the past 5 yrs, the economic multiplier effect in the society is jammed and ceased. What a mess!!!.

Kwa hali hizo na zingine nyingi ni nani atampenda Bwana huyo???!!
Usiwasemee watu wewe ! Hauko mioyoni mwa watu! Hivi mikutano ya JPM ulikua huioni ? Kila kona alikokua anapita watu walijaa barabarani na kwenye mikutano kumsikiliza alafu! Unasema sehemu kubwa walikua wanamkubali TL kwa Vigezo vipi? Au humu Jf? Mjifunze kuficha aibu basi! Tatizo lenu mnadhani kura zinapigwa humu jf ! Tanzania bado hakuna Upinzani imara uliojijenga kitaasisi wa kuitoa CCM ,hakuna!
 
Back
Top Bottom