Sabi Sanda
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 409
- 31
Pamoja na maelezo yote yaliyotolewa, kuna kitu ambacho akijasemwa vizuri. Kitu hicho ni CIF value ya kila gari ambayo CCM wali-declare TRA ili kukokotoa kiwango cha kodi kwa kila gari. Hii itaondoa ubishi na kujua kama kiwango cha ushuru kilicholipwa ni stahiki au hapana.