Babuu Rogger
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 1,529
- 1,114
Wadau juzi wakati CCM ikisheherekea miaka 35, Mr Lukuvi ambae anajiita mlezi wa CCM mkoa wa Mara alikuja Musoma na kuandaa mkutano maeneo ya nyakato, Ndugu zangu huyu jamaa alichoambulia ni aibu kwani aliahirisha mikutano miwili kutokana na kukosa watu na hata pale alipoweka kikao na wana ******* wenzake alipata wanamagamba kiduchu. haijulikani hata alipopotelea.