Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,919
- 7,768
Wananchi wa mkoa wa mwanza wameanza kuionyesha ccm kwa vitendo kuwa wameichoka na hiyo inathibitishwa na ususiaji wa mikutano ya wabunge wa chama hicho mkoani humo.
Hapo ni jana wakati mbunge wa Nyamagana akihutubia mkutano wa hadhara.
Mwenye macho na atazame.....
View attachment 1122332
Hivi hapo ni Mwanza au kitongoji fulani katika jiji la Mwanza?