CCM Mwanza kwisha

CCM Mwanza kwisha

Wananchi wa mkoa wa mwanza wameanza kuionyesha ccm kwa vitendo kuwa wameichoka na hiyo inathibitishwa na ususiaji wa mikutano ya wabunge wa chama hicho mkoani humo.

Hapo ni jana wakati mbunge wa Nyamagana akihutubia mkutano wa hadhara.
Mwenye macho na atazame.....
View attachment 1122332

Hivi hapo ni Mwanza au kitongoji fulani katika jiji la Mwanza?
 
mtoa mada tunaomba picha ya eneo zima, hii bado hatuwezi kusema watu wamesusia. Imepigwa kipande kwa kulenga upande mmoja
 
Ni ukweli mwanza watu hawaipendi ccm hilo hata ccm wenyewe wanajua shida ipo kwa wagombea wa upinzani huwa hawajielewi sijui wanawaogotaga wapi. Huyu wenje alipewa ubunge akalewa akawa anatokea siku za maandamano tu akaanza kuwatukana wasukuma kuwa ni washamba sana na wakabila wakati yeye ni mjaruo na wamemchagua hakuna lolote alilofanya akienda igoma anawambia buhongwa kajenga zahanati kumbe fix na akifika buhongwa anawambia igoma kajenga madarasa kumbe fix


Ushaul chadema wajue kanda ya ziwa kunaendeshwa kwa ukabila waweke wagombea wasukuma siyo kuletana wachaga kama alivyo kuwa kwa kiwia

Ni sehemu moja tu ambayo kuna mbunge wa kabila tofaut napo ni bunda ester bulaya ni msukuma japo napo pana wasukuma wengi

Mayala B
Na Masha nae ni msukuma......
Ukabila utatumaliza baghoshaaaaa.....
 
Poleni sana kama mmefikia hatua ya kuona kama picha imepigwa kwa upendeleo
mtoa mada tunaomba picha ya eneo zima, hii bado hatuwezi kusema watu wamesusia. Imepigwa kipande kwa kulenga upande mmoja
 
Tuuunganishe nguvu tuliondoe kabisa kwa kulikataa hata kama wanaiba lkn itafikia wakati watashindwa kuiba
Hilo li chama nani analitaka ,limetuletea umaskini na ufukara nchi hii .
 
Jiandaeni Kisaikolojia! 2020 Wabunge wa Upinzani watakaorudi hawazidi 10 Nchi nzima Mwanza tunawapiga asubuhi tu! CCM Oyeeeeee!
Wanaweza wasirudi kabisa hata mmoja na hakuna anaebisha. Na ndo maana DED wanakumbatiwa wasimamie uchaguzi wakisaidiwa na rundo la polisi.
Siku ya kufanya uchaguzi ambao ni huru kabisaaaa....CCM ni kama kusukuma unywele. Na bahati nzuri wote tunalijua hilo, endeleeni kutegemea dola kuwachagulia viongozi.
 
Kwa kuongezea pia ni kuwa uelewa wa wapiga kura wa 2015 na 2020 utakuwa tofauti sana maana uvumilivu nao una mwisho
Uelewa bado sana sasa ebu wote tuwe na uelewa wa sheria huenda tukatatua pasipo nguvu huko nyamagana mpooooo
 
Mwisho wao upo wakati hata hao polisii watakapo amua kuliàchia jahazi lijizamie kama kule sudan
Wanaweza wasirudi kabisa hata mmoja na hakuna anaebisha. Na ndo maana DED wanakumbatiwa wasimamie uchaguzi wakisaidiwa na rundo la polisi.
Siku ya kufanya uchaguzi ambao ni huru kabisaaaa....CCM ni kama kusukuma unywele. Na bahati nzuri wote tunalijua hilo, endeleeni kutegemea dola kuwachagulia viongozi.
 
Yameandikwa ka.a wewe ulivyo andika
Mbona picha nyingine hizi mliziruka, nimeona niingie kwenye akaunti ya Stanslaus Mabula ya Instagram nimezikuta
Screenshot_20190609-125354.jpeg
Screenshot_20190609-125331.jpeg
Screenshot_20190609-125339.jpeg
 
Back
Top Bottom