kalooo 25594
JF-Expert Member
- Jun 14, 2016
- 300
- 194
Huo sasa ushabiki ndgu kumbuka siasa ni kama upepo kabla ya 2010 chadema ilikuwa si kitu VIP Leo si mpaka serikali inaiwekea vikwazo vya kila aina kuithibiti isionane na watu.Jiandaeni Kisaikolojia! 2020 Wabunge wa Upinzani watakaorudi hawazidi 10 Nchi nzima Mwanza tunawapiga asubuhi tu! CCM Oyeeeeee!
