CCM Mwanza kwisha

CCM Mwanza kwisha

Hata hao wanafunzi wa chekechea wanatosha
Mh: Mbunge anatimiza wajibu kupeleka mrejesho kwa wapiga kura wake,,
sioni haja ya kuacha shughuri zangu kwenda mkutanoni wakati changamoto zote zinatatuliwa kwa wakati,, Mh: Stan Mabula piga kazi kaka tuna imani na wewe,,,
 
Wananchi wa mkoa wa mwanza wameanza kuionyesha ccm kwa vitendo kuwa wameichoka na hiyo inathibitishwa na ususiaji wa mikutano ya wabunge wa chama hicho mkoani humo.

Hapo ni jana wakati mbunge wa Nyamagana akihutubia mkutano wa hadhara.
Mwenye macho na atazame.....
View attachment 1122332
Mwanza ndio sehemu ambayo wamachinga wamenyanyaswa kuliko sehemu yoyote Africa , wamepigwa kuliko kwenye filamu ya sarafina
 
Nakumbuka pale makoroboi jamaa walivamiwa walipigwa na mali zao kupolwa na migambo
Mwanza ndio sehemu ambayo wamachinga wamenyanyaswa kuliko sehemu yoyote Africa , wamepigwa kuliko kwenye filamu ya sarafina
 
Watu wameichoka ccm
CCM ni jina na nikukumbushe tu watu wanachoka watu waliopo kwenye taasisi na sio jina la taasisi.hao majamaa huwa ni mabingwa wa kujibadilisha kulingana na muda na events za muda huo.
 
Labda waje na jina jingine maana kama kuna watu bado wanajua bado ccm ni Nyerere utaniambiaje ccm ni jina?
CCM ni jina na nikukumbushe tu watu wanachoka watu waliopo kwenye taasisi na sio jina la taasisi.hao majamaa huwa ni mabingwa wa kujibadilisha kulingana na muda na events za muda huo.
 
Jua liwake mvue inyeshe watashinda tu maana hata hao wa upande mwingine hawaaminiki tena....
 
Mkuu wazo lako ni zuri sana na kwa sasa mambo ni fire chini kwa chini siunajua?
Umechanganya neno la kiingereza kwenye sentesi ya kiswahili umeharibu ulichotaka kusema kuwa sasa mambo ni moto chini kwa chini.
 
Hiyo haiondoi maana ya kuwa wapinzani wapo wanajiandaa kimya kimya maana wakijionyesha tu ccm wana wapandisha kwa pilato
Umechanganya neno la kiingereza kwenye sentesi ya kiswahili umeharibu ulichotaka kusema kuwa sasa mambo ni moto chini kwa chini.
 
Huwezi kuwa na akili timamu ukaifagilia sisiem ya awamu hii
Kuruka ruka kwa maharage ndio kuiva kwake! Jipangeni 2020 tunasafisha wapinzani wote! Kazi kubwa na Nzuri anayoifanya JPM kila Mtanzania anakiri na kukubali kuwa CCM ndio mpango mzima
 
Tusiongee sana. Uchaguzi wa serikali za mitaa umefika subiri utaona.
Kuruka ruka kwa maharage ndio kuiva kwake! Jipangeni 2020 tunasafisha wapinzani wote! Kazi kubwa na Nzuri anayoifanya JPM kila Mtanzania anakiri na kukubali kuwa CCM ndio mpango mzima
 
Back
Top Bottom