Hiyo picha inalenga kamera upande wa barabarani. Ulitaka watu wakae huko siyo, hebu acheni propaganda za kitotoMbona unateseka mkuu?
Kwani mikutano ya HADHARA si imezuiwa au mimi ndio sifahamu??
Jimbo hili ndo katengewa Daudi Albert Bashite!Kwani mikutano ya HADHARA si imezuiwa au mimi ndio sifahamu??
Hiyo picha inalenga kamera upande wa barabarani. Ulitaka watu wakae huko siyo, hebu acheni propaganda za kitoto
Masikini watoto wenyewe wamejikatia tamaa wameshika shavu na kushika tama huku wengine wakiendelea kujitengenezea mifagio ya chelewa hata hawaelewi mishimiwa anaongea nini.naona manyunyu ya watu mbele ya mheshimiwa sana,tena watoto wasiojua haki zao
.......Peopleeeeeeeesssss!
HahahahahahaaaaaaaUmepanua Hadi pua kabisa unaongea kama mchele
Alijenga na jukwaa kabisa😅Wananchi wa mkoa wa mwanza wameanza kuionyesha ccm kwa vitendo kuwa wameichoka na hiyo inathibitishwa na ususiaji wa mikutano ya wabunge wa chama hicho mkoani humo.
Hapo ni jana wakati mbunge wa Nyamagana akihutubia mkutano wa hadhara.
Mwenye macho na atazame.....
View attachment 1122332
Jimbo hili ndo katengewa Daudi Albert Bashite!
Kivipi mkuu![]()
Au ilikuwa siku ya watoto duniani?? hahahaaWananchi wa mkoa wa mwanza wameanza kuionyesha ccm kwa vitendo kuwa wameichoka na hiyo inathibitishwa na ususiaji wa mikutano ya wabunge wa chama hicho mkoani humo.
Hapo ni jana wakati mbunge wa Nyamagana akihutubia mkutano wa hadhara.
Mwenye macho na atazame.....
View attachment 1122332
Mikutano imeruhusiwa?Wananchi wa mkoa wa mwanza wameanza kuionyesha ccm kwa vitendo kuwa wameichoka na hiyo inathibitishwa na ususiaji wa mikutano ya wabunge wa chama hicho mkoani humo.
Hapo ni jana wakati mbunge wa Nyamagana akihutubia mkutano wa hadhara.
Mwenye macho na atazame.....
View attachment 1122332