dega
JF-Expert Member
- Dec 18, 2012
- 3,171
- 3,086
Kwani mikutano ya HADHARA si imezuiwa au mimi ndio sifahamu??Wananchi wa mkoa wa mwanza wameanza kuionyesha ccm kwa vitendo kuwa wameichoka na hiyo inathibitishwa na ususiaji wa mikutano ya wabunge wa chama hicho mkoani humo.
Hapo ni jana wakati mbunge wa Nyamagana akihutubia mkutano wa hadhara.
Mwenye macho na atazame.....
View attachment 1122332