Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,204
- 99,943
Hahahaha Lete konyagi
Kindoni watampahe huyo tahira ha ha saizi yake karomije misungwiKinondoni INA laana gani kila RC aliyeanzia kino haziko sawa upstair
Hata kwenye roli awajai Na nafasi inabaki Na bukubuku wanapata.Propaganda uchwara. Angalieni wenyeweView attachment 1122524View attachment 1122525
Yani mnajidanganya sana CHADEMA hata wasipofika mkutanoni watu saizi tunauhakika na dereva((JPM) na gari lake........ Acha tufanye kazi saizi then 2020 tunafumba macho na kuweka tick kila penye rangi ya kijani na penye nyundo na spedi watupeleke 2025 maana hawana mpinzani na tumeielewa kazi ya JPM
Wacha kujitoa uelewa ndugu yangu yaani hata hapa unataka kusema picha imefanyiwa usanii?
Hakuna watu wazima hapo ni chekechea tuMnyonge nyongeni laki haki yake mpeni.Hao wanaoonekana karibu ni watoto ila watu wazima wanaonekana ktk muelekeo aliotiza Mhe.ambao hamkutaka kuwaonyesha kwasababu zenu binafsi. Is not good at all.