kidadari
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 8,647
- 9,574
Ukifungua television bila kujua kama kuna kampeni unaweza kudhani ni hotuba za kawaida za JPM na sio kujinadi ili kuomba kura.
Ulituahidi tukakupa miaka 5 ambayo tumeyaona hatuhitaji kuambiwa .Sasa tuambie tukikupa miaka mngine utafanya nini sio kujinadi na yale uliyoyafanya. Ya 2015-2020 hesabu yake imeisha tunataka mapya.
Kuna uwezekano hotuba yake ya kwanza mpaka ya mwisho ikawa ni yale yale.barabara, ndege, na madaraja
Ulituahidi tukakupa miaka 5 ambayo tumeyaona hatuhitaji kuambiwa .Sasa tuambie tukikupa miaka mngine utafanya nini sio kujinadi na yale uliyoyafanya. Ya 2015-2020 hesabu yake imeisha tunataka mapya.
Kuna uwezekano hotuba yake ya kwanza mpaka ya mwisho ikawa ni yale yale.barabara, ndege, na madaraja