CCM Mtarejeshaje Gharama Hizi?

CCM Mtarejeshaje Gharama Hizi?

monaban kaprint Tshirt 5000 hakika huu ni msimu Wa mavuno...
 
Hivi watanzania wenzangu kwanini tusiungane kukataa ufisadi na mafisadi kunajisi Ikulu yetu? Pamoja na kwamba Nyerere si mara zote yupo sahihi lakini alikwishatutahadharisha juu ya rais aliyepo madarakani sasa ndugu Kikwete na ki-ukweli mzee yule hakukosea. Sote tu mashahidi wa jinsi Kikwete anavyovurunda na kuharibu hata ile misingi ya taifa letu, amani. Muda ungalirudishwa nyuma hakika Kikwete asingepata urais

Alitutahadharisha pia juu ya Lowassa. Na kwa kweli tusijaribu aslani. Sumu haijaribiwi kwa kulamba
 
Ile kampuni yake ya Richard Monduli aka Richmond nasikia ndiyo iliyobeba jukumu la kuwabeba maafisa Kilimo wanne wanne kila wilaya, kila moja 120,000/= daaah!

Kutangaza form tu fedha zote hizi!
Wanataka kubariki Ufisadi kwenye nchi hii
 
Hivi watanzania wenzangu kwanini tusiungane kukataa ufisadi na mafisadi kunajisi Ikulu yetu? Pamoja na kwamba Nyerere si mara zote yupo sahihi lakini alikwishatutahadharisha juu ya rais aliyepo madarakani sasa ndugu Kikwete na ki-ukweli mzee yule hakukosea. Sote tu mashahidi wa jinsi Kikwete anavyovurunda na kuharibu hata ile misingi ya taifa letu, amani. Muda ungalirudishwa nyuma hakika Kikwete asingepata urais

Alitutahadharisha pia juu ya Lowassa. Na kwa kweli tusijaribu aslani. Sumu haijaribiwi kwa kulamba
Tusema Hapana kwa Mafisadi Tarehe 25/10/2015. Kwenye box la kura
 
Chademakwanza
Kwa ninachojua mimi hizo data ni za kupikwa na team WAMA propaganda zinazoendelea humu JF ,WATSAPP NA FACEBOOK Ni uzushi wa kupikwa
 
Last edited by a moderator:
Kwa ninachojua mimi hizo data ni za kupikwa na team WAMA propaganda zinazoendelea humu JF ,WATSAPP NA FACEBOOK Ni uzushi wa kupikwa

Wewe unayesema zakupikwa nenda katenge koo upate kisuzwa lakini watanzania wamesema ndio mwisho wenu
 
Kamanda Tatizo la Ccm wanafikiri Watanzania baado niwajinga

Ni kwl baadhi ya Watz bado ni wajinga ila si kama mwaka wa 47 Watz wa sasa wameamka kwa kuona maisha yamekuwa magumu mno, wengi wao wameamka ila bado tunaendelea kuwaelimisha jins wanavyofilisiwa na mafisad wa ccm kila Mtz kaichoka ccm miaka 53 hali ni t tete na Tz inautajir wa kutupwa mkuu kila kukicha afadhal ya jana,
Ccm mwisho wao ni oct kwel nakwambia.
 
Thread za kupigia porojo hizi....

Ila Arusha na Tanzania sasa Gumzo ni uzinduzi wa SAFARI YA MATUMAINI.

Watanzania wazalendo ndio tumechangisha mpaka senti zetu za mwisho ili kufanikisha tukio hili.

VIVA CCM, VIVA LOWASSA!
 
Wewe unayesema zakupikwa nenda katenge koo upate kisuzwa lakini watanzania wamesema ndio mwisho wenu

Cha kwanza sina chama but nachukia sna watu wanaopika fitna toa ushaidi wa kauli yako.
Kama sio porojo zisio kuwa na maana.
Nishawishi kama unapoint ya mashiko juu ya hizo tuuma ninahamini umeziokota tuu huko kwenye mitandao mingine.
 
Dah umeongea vitu vingi vingi kisha unaviacha hewani hewani!!!
 
Thread za kupigia porojo hizi....

Ila Arusha na Tanzania sasa Gumzo ni uzinduzi wa SAFARI YA MATUMAINI.

Watanzania wazalendo ndio tumechangisha mpaka senti zetu za mwisho ili kufanikisha tukio hili.

VIVA CCM, VIVA LOWASSA!
Jibu Hoja Mtarejeshaje hizo hela watanzania wamechoka na Ufisadi
 
Watanzania ndio wajinga wanashabikia ujinga

Usiseme hv mkuu, maana ukisema Watz ndio wajinga ni pamoja na ww, sema baadhi ya Watz bt si wote, na niwachache mno wamejitoa ufaham kwa njaa za ajabu ajabu kwa kuhongwa, ila ukwl ni kwamba Watz wamewachoka ccm,
Kila cku ufisad ufisad bidhaa ziko juu, wameua viwanda, hakuna ajira na mbaya zaid ccm hawaelewan na kila sekta,
Hadi vilema jaman kwl mtu atakaeichagua ccm atakuwa ni kichaa si bure.
 
Cha kwanza sina chama but nachukia sna watu wanaopika fitna toa ushaidi wa kauli yako.
Kama sio porojo zisio kuwa na maana.
Nishawishi kama unapoint ya mashiko juu ya hizo tuuma ninahamini umeziokota tuu huko kwenye mitandao mingine.
Hata ccm wanaletaga ushaidi wa Ufisadi?
 
Thread za kupigia porojo hizi....

Ila Arusha na Tanzania sasa Gumzo ni uzinduzi wa SAFARI YA MATUMAINI.

Watanzania wazalendo ndio tumechangisha mpaka senti zetu za mwisho ili kufanikisha tukio hili.

VIVA CCM, VIVA LOWASSA!

Kamdanganye bibi yako wa kijijin kuwa ni Watz wazelendo, umejitoa upofu wa macho huo ni ufisad mtupu,
Hebu niambia ccm inaowapiga wamachinga na kuwafukuza wanateseka kwl, halafu hao hao ndo wawachangie itakuwa ni maajabu,
EL ni fisad ananunua Urais, Jitu kama lilijiuzulu uwazir kwasababu ya Ufisad leo hii anahonga kwa Rushwa je huyo mtu akipata Urais itakuwaje?
Bac mkimpitisha huyo fisad na mtoa Rushwa bac katika kampen zen sera iwe Rushwa ruhusa kila mahal.
 
CCM majambazi na sasa hivi wanagombania kuibia watanzania lakini waelewe tu mwak huu watashika nafasi ya tatu...
 
CCM majambazi na sasa hivi wanagombania kuibia watanzania lakini waelewe tu mwak huu watashika nafasi ya tatu...
kamanda hawa wanasema eti wako kwenye safari ya Matumaini wakati watanzania wameshawajua wako kwenye safari ya Matamanio
 
Back
Top Bottom