Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,580
Kwa Magufuri nampa √
Tatizo la nchi hii siyo mtu. Tatizo la nchi hii ni mfumo. Ili tuondokane na kero ya mfumo ulioshindwa kazi, mfumo unaotudhalilisha, ni lazima sasa watanzania waiondoe ccm madarakani ili heshima ya nchi yetu irudi