Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,271
Watanzania Wakisema ilani ya Chama cha Mapinduzi inakumbatia Mafisadi watakua wanakosea?
Huu ni ukweli ambao hauwezi kupingwa hata mahakama kuu au ya rufaa....
Watanzania Wakisema ilani ya Chama cha Mapinduzi inakumbatia Mafisadi watakua wanakosea?
ocampo four na laki si pesa njooni huku
Marandu alisema hata sisi tunaweza tangaza wenyewe
Hapo hakuna hoja za msingi za kujibu.....ocampo four na laki si pesa njooni huku