paschal Burra
JF-Expert Member
- Jul 1, 2021
- 374
- 332
Kwa hiyo waliotangulia wote mbele za haki walikuwa sio wema walifanya madhambi mengi huwa Mungu anawaua wadhambi ana waacha watu wema nipe jibu nakusubiri?
Nmewaza tu kwan akili aliziacha nyumbani!!!Huyo Mama je?Umeona alichofanya lakini?
Ajabu sana mkuu hebu soma comments humu ujionee mwenyewe watu wanao jiita ma GT wanacho kijadili.Anarafiwa huyo
Hivi unaongea au unatapika uko na akili timamu kweli kwa hiyo waliokufa wote walikuwa hawana utumishi uliotukukaAngekuwa na utumishi uliotukuka angekuwepo hadi leo.
Magufuli alikuwa na miaka 61 sio mzeeNyerere yeye ni uzee, alishskuwa mzee tayari, ilikuwa haki yake
Ndio zenu, kusingizia watu wengine ni wezi wakati katika awamu ya tano Prof Assad na Kichere walianika uozo hadharani.Wwe inaonekana ulikuwa mwizi,
Mkuu hao ndio watu wanao jisifu humu kuwa wana akili nyingi sana hadi zinacheua.Kwa hiyo waliotangulia wote mbele za haki walikuwa sio wema walifanya madhambi mengi huwa Mungu anawaua wadhambi ana waacha watu wema nipe jibu nakusubiri?
We unaona alikuwa mzuri? Aliharibu uchumi,umoja wa Kitaifa,mbaguzi na mkabila afu akaharibu na mahusiano ya kimataifa na Nchi jirani.Unataka kusema Magufuli alikuwa mbaya?
Comments nyingine inabidi uzielewe kwa kujiongeza kufikiri.Hivi unaongea au unatapika uko na akili timamu kweli kwa hiyo waliokufa wote walikuwa hawana utumishi uliotukuka
Ndio zenu,kusingizia watu wengine ni wezi wakati katika awamu ya tano Prof Assad na Kicher
e walianika uozo hadharani.Bo
Mtu kama Jakaya kufanya kazi akiwa amesimamiwa na Azimia la Arusha ni ngumu sana na hawezi toboa! Ila mtu kama Magufuli ingekuwa rahisi!Aina ya uongozi kama ule wa Awamu ya Tano ulikuwa balaa kwa mustakabali wa umoja wa nchi yetu.
Sina haja ya kurudia madhambi mabaya ya Awamu ya Tano maana kila mtu yalimgusa...
Kwa bahati mbaya huna uwezo ata wakusimama na Polepole ukamshunda kwa hoja!Awamu ya tano akin Sabaya, Makonda, Ndugai, Polepole, Bashiru, Tulia hawafai nyakati hizi
We kabira gani kwani?We unaona alikuwa mzuri? Aliharibu uchumi,umoja wa Kitaifa,mbaguzi na mkabila afu akaharibu na mahusiano ya kimataifa na Nchi jirani.
Huku akifanya ufisadi na waliomzunguka wakijitajirisha na kuvimbiwa afu wanawafariji maskini kwa maneno ya uzalendo na Tzn ya wanyonge
Mbona asilimia 95% ndo wale wale nowAina ya uongozi kama ule wa Awamu ya Tano ulikuwa balaa kwa mustakabali wa umoja wa nchi yetu.
Sina haja ya kurudia madhambi mabaya ya Awamu ya Tano maana kila mtu yalimgusa...
Aliyejenga Nchi ni Kikwete,au hilo Daraja la Ubungo ndio linalokutia kiwewe Magufuli alikuwa mwizi na Dikteta uchwara kauli ya atake asitake aliishinikiza yeye fala yule.Bora Magufuri aliyekuwa anatuibia lakini anatujengea Nchi,
Ndio, Maiti sura mbaya na roho yake mbaya.Unataka kusema Magufuli alikuwa mbaya?
Akili yako haina akili . Sukuma GANG mnajitahidi sana kutetea maiti, ila Kwa kweli Magufuli asafishiki.Kwahiyo viongoz wote waliokufa mfano Maalim Seif naye alikua kiongoz muovu ndio maana kafa?