CCM Msiseme hamkuonywa au hamkuambiwa

CCM Msiseme hamkuonywa au hamkuambiwa

4. Afute mi kesi kesi ya kubambikiziana na kukomoana za kisiasa
5. Aanzishe uchunguzi huru wa wote waliopotea, kutekwa na kujeruhiwa..
Kwa hali inavoonesha sasa ni Rasmi- Attention ya mtu mweupe ipo Tanzania.

Kuna kila dalili kuwa kuanzia sasa wanafuatilia mawasiliano ya viongozi wote wakuu akiwemo mzee na wameshajua kuwa mzee hana support ya kutosha kuanzia ndani ya Chama hadi nje.

Sasa ni sehemu muhimu kwa Chama kumshauri mzee na mzee kusikiliza kwa maana mzee akianguka ni Chama kimeanguka.


Tulitangaza vita bila kujiandaa
Tulibeep sasa wao wamepiga
 
Kwa hali inavoonesha sasa ni Rasmi- Attention ya mtu mweupe ipo Tanzania.

Kuna kila dalili kuwa kuanzia sasa wanafuatilia mawasiliano ya viongozi wote wakuu akiwemo mzee na wameshajua kuwa mzee hana support ya kutosha kuanzia ndani ya Chama hadi nje.

Sasa ni sehemu muhimu kwa Chama kumshauri mzee na mzee kusikiliza kwa maana mzee akianguka ni Chama kimeanguka.


Tulitangaza vita bila kujiandaa
Tulibeep sasa wao wamepiga
Mkuu ongezea nyama kidogo Sijakupata. Tuliowabeep wameshatupigia tayari??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ongezea nyama kidogo Sijakupata. Tuliowabeep wameshatupigia tayari??

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio Ndugu. Tuliowabeep sasa wameshatupigia.

Tulianza vurugu nyingi sana kuanzia kubughuzi uwekezaji wao wakaa kimya.

Walikuwa wanatutazama tu, kuaendelea na kiburi na kila siku kuwaita wanyonyaji. Tulienda mbele kuanza kupiga watu risasi, tukaenda zaidi kukamata wanaharakati na kuwafungulia kesi.

Kumbe wenzetu wanajipa tu muda kuangalia wapige wapi na lini.

Sasa umefika wakati sahihi wa wao kuanza kupiga.

Na kwa hali ilivyo hatuwezi na wala hatutaweza kushindana nao.
 
Nafikiri sasa CCM mmenielewa vizuri!


Wakati ni sasa! Nawahakikishia coming 25 October mnaenda kuwa Chama cha Upinzani
 
It doesn't work that way bruda. Wamarekani wana interest zao na na ndio wanazozilinda, ikatokea wakaongea na serikali wakaelewana wenyewe basi wengine wote wanakua sacrificed wala haitajali kama walikua wanafanyakazi kwa maslahi ya Marekani

Hata ku manipulate uchaguzi hawawezi. Serikali zilizopo madarakani hasa kwenye nchi za Afrika zina turufu ya mwisho kuhusu chaguz na washindi wa chaguzi hasa za wakuu wa nchi. Mabeberu watakachofanikiwa ni kuhujumu uchumi na ku create chaos na mwisho wa siku muathirika ni mwananchi wa kawaida asiye na hatia
Nafikiri sasa tunaenda pamoja ndugu
 
Msiseme hamkuonywa au hamkuambiwa.

Chukueni hatua kumshauri Mh. Raisi afanye yafuatayo

1. Awaondoe Waziri wa Mambo ya Nje na Mambo ya Ndani-

2. Afanye maamuzi juu ya kesi za Wanaharakati - Ziondolewe zote.

3. Asitishe baadhi ya sheria hasa zilizopigiwa kelele.

Narudia tena, wakati ndio sasa msipoangalia hawa jamaa wanaenda kuwa surprise kwenye uchaguzi mkuu.

They now mean business na mnaenda kuwa KANU ya kenya.

Asanteni
Na.4 TRA iache kuwanyanyasa wafanyabiasha kwa makisio ya kodi yasiyoendana na uhalisia wa biashara na mtaji wa mhusika
 
Nafikiri sasa tunaenda pamoja ndugu
Hilo ni suala la muda tu na huo mkopo watautoa. Wala hii si mara ya kwanza kuchelewesha kwa sababu tofauti tofauti na baadae wakaachia. Ilishawahi tokea siku za nyuma.

Nikwambie kitu ndugu yangu Marekani na WB wanahitaji sana nchi zikope kutika kwao pengine kuliko sisi tunavyohitajia hizo fedha. Kwa namna gani, hiyo ni topic inayojitegemea

Kama ni suala la kuzuia watu kuingia Marekani ni baadhi tu ya watu na halina athar za moja kwa moja kwenye uchumi, after all kwani Marekani ni mbinguni?
 
Hilo ni suala la muda tu na huo mkopo watautoa. Wala hii si mara ya kwanza kuchelewesha kwa sababu tofauti tofauti na baadae wakaachia. Ilishawahi tokea siku za nyuma.

Nikwambie kitu ndugu yangu Marekani na WB wanahitaji sana nchi zikope kutika kwao pengine kuliko sisi tunavyohitajia hizo fedha. Kwa namna gani, hiyo ni topic inayojitegemea

Kama ni suala la kuzuia watu kuingia Marekani ni baadhi tu ya watu na halina athar za moja kwa moja kwenye uchumi, after all kwani Marekani ni mbinguni?
Wautoe mkopo na vitisho vile dhidi ya Zitto vilivyotolewa Bungeni na kurushwa hadi na BBC?

Labda sio wazungu ninaowajua mimi?
 
Back
Top Bottom