CCM Msiseme hamkuonywa au hamkuambiwa

CCM Msiseme hamkuonywa au hamkuambiwa

Kwani unayoiuliza maswali ni pasi yake au ni kampuni ya TWAWEZA?

Kama hicho chama cha kijeshi kimepora passport yake atathubutu kuongea chochote, hicho chama kaigize kile kikundi chake cha watu wasiojulikana kimfanyie ya Lissu?
 
Huwezi kujua point yangu kwa sababu kama nilivyosema, tatizo ujinga wako umechanganyikana na upumbavu!

Kama ingekuwa ni ujinga pekee nadhani ingekuwa ni rahisi kukuelimisha, hata hivyo nitajitahidi kukuelimisha polepole!
Sioni hoja yoyote ya maana unayotaka kuijenga zaidi ya kutaka kunishinda kwa uzoefu wako wa kuwa mjinga. Ngoja niishie hapa nisije kuwa sawa na kiwango chako cha ujinga.
 
Achana nao wapotee kama dola ya Rumi( roma)
Msiseme hamkuonywa au hamkuambiwa.

Chukueni hatua kumshauri Mh. Raisi afanye yafuatayo

1. Awaondoe Waziri wa Mambo ya Nje na Mambo ya Ndani-

2. Afanye maamuzi juu ya kesi za Wanaharakati - Ziondolewe zote.

3. Asitishe baadhi ya sheria hasa zilizopigiwa kelele.

Narudia tena, wakati ndio sasa msipoangalia hawa jamaa wanaenda kuwa surprise kwenye uchaguzi mkuu.

They now mean business na mnaenda kuwa KANU ya kenya.

Asanteni
 
Aiseee mbona sikuipata hii? Kampuni gani hizo? Kuna thread humu? Naomba hii taarifa asieeee nikasaidie
Endeleeni kumpotosha Mzee. We unaona kampuni tatu kufile notice ya kushtaki Serikali ndani ya siku 7 tena kwenye mwaka wa uchaguzi ni jambo la kawaida eeh??

Unadhani Tanzania kuwekwa kwenye Ban list something that has never happened before ni jambo la kawaida eeh????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafikiri una upeo mdogo sana na siasa za dunia hii zinavyoenda. Samahani kwa kukwambia ukweli ndugu
Lord.
Sina shaka yoyote, kwa kusoma uliyoandika hapa, inatosha kabisa kujua kiasi cha upeo wako wa mambo ya dunia.

Uko chini mno..
 
Watanzania wajinga kweli, mmarekana amekasirishwa na msimamo wa Tanzania kigomea kuwapa majina ya watanzania, kama ushirikiano wa terrorism, kila nchi ina haki ya kuchunga watu wake na kuhifadhi siri zao.

Kama USA wangekuwa na tatizo na viongozi wa serekali ya magufuli, Ban wangeekewa jao viongozi sio nchi nzima. Mfano kenya, kuna viongozi wabadhirifu ambao wamekula rushwa na kuiba mali za umma, hao wamenyimwa visa za USA .

Hii tabia ya kushanikia uonevu tunaofanyiwa na mataifa ya watu weupe, ni utumwa, hili lingefanywa na nchi ya kiafrika, tingeona matusi na kelele nyingi, lakini kwa ngozi nyeupe tunasujudu.

Sent using Jamii Forums mobile app
sio uonevu wameamua kututetea dhidi ya uovu.
 
Nchi hii hamna aliyefika kiwango cha kuwa Msaliti. Tatizo ni kuwa kuna kundi la wajanja wasio na exposure waliomzunguka Mh. Raisi ambao kila siku wamekuwa wakimuingiza Chaka na kumpa tensions zisizostahili
Onyo lilitoka mapema ... hiyo thread ya 2016 imo humu jukwaani BUT mpumbavu akikuingiza chaka nawe ukijua hapo ni nani kamzidi mwenzie?
 
Nchi tajiri hazimchukii kiongozi analinda maslahi yao.
Si kweli kwamba nchi tajiri zinapenda nchi za Afrika zibaki maskini. Zinapenda zifanye biashara na nchi zenye uchumi mzuri zinazoweza kununua bidhaa zao kwa wingi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pendekezo Namba Moja Limeanza kufanyiwa kazi. Lugola nje

Haijalishi ni kwa sababu gani ila inatuma ujumbe kuwa Mh. Raisi amekuwa haridhishwi na utendaji wa Wizara ya Mambo ya Ndani.



Mh. Raisi twende kwa Kabudi pia
 
CCM muambiwe lugha gani muelewe? Hili wa World bank leo halijawashtua tu?
 
Msiseme hamkuonywa au hamkuambiwa.

Chukueni hatua kumshauri Mh. Raisi afanye yafuatayo

1. Awaondoe Waziri wa Mambo ya Nje na Mambo ya Ndani-

2. Afanye maamuzi juu ya kesi za Wanaharakati - Ziondolewe zote.

3. Asitishe baadhi ya sheria hasa zilizopigiwa kelele.

Narudia tena, wakati ndio sasa msipoangalia hawa jamaa wanaenda kuwa surprise kwenye uchaguzi mkuu.

They now mean business na mnaenda kuwa KANU ya kenya.

Asanteni
Ushauri umeishia hapo??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Endeleeni kumpotosha Mzee. We unaona kampuni tatu kufile notice ya kushtaki Serikali ndani ya siku 7 tena kwenye mwaka wa uchaguzi ni jambo la kawaida eeh??

Unadhani Tanzania kuwekwa kwenye Ban list something that has never happened before ni jambo la kawaida eeh????
Hizo notisi zitapita. Makesi yatapita. Uchaguzi utapita. CCM itashinda. Na ninyi mtaendelea kudhahania.
 
Hii thread Moderators Naomba iwe thread kuu kwa mwaka huu.

Inaonekana CCM wameziba masikio ila naomba mzidi kuiweka hai kwa sababu kinachoenda kutokea mwaka huu kila mtu atashangaaa.


Leo ubalozi wa Marekani umetoa tamko la kufikirisha zaidi ya kufikirisha.


Narudia tena mwenye macho haambiwi tazama. CCM mwaka huu msipobadilika mapema, Mmeisha
 
Msiseme hamkuonywa au hamkuambiwa.

Chukueni hatua kumshauri Mh. Raisi afanye yafuatayo

1. Awaondoe Waziri wa Mambo ya Nje na Mambo ya Ndani-

2. Afanye maamuzi juu ya kesi za Wanaharakati - Ziondolewe zote.

3. Asitishe baadhi ya sheria hasa zilizopigiwa kelele.

Narudia tena, wakati ndio sasa msipoangalia hawa jamaa wanaenda kuwa surprise kwenye uchaguzi mkuu.

They now mean business na mnaenda kuwa KANU ya kenya.

Asanteni
4. Afute mi kesi kesi ya kubambikiziana na kukomoana za kisiasa
5. Aanzishe uchunguzi huru wa wote waliopotea, kutekwa na kujeruhiwa..
 
Back
Top Bottom