CCM Msiseme hamkuonywa au hamkuambiwa

CCM Msiseme hamkuonywa au hamkuambiwa

Marekani, kuna Msukuma mmoja anaitwa Pascal Mayalla, huyu ndio aliyemchongea Erick Kabendera kwa Magufuli ili aozee jela, msimsahau kwenye orodha ya watakao simama kizimbani kwenye mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa haki za binadamu ICC
😂😂😂
 
Na wanaoandika thread ni wahitimu wa vyuo vikuu nchini!

Ninalaumu sera ya elimu nchini kwa kutoa wahitimu wa vyuo wajinga ambao wanadhani wameelimika wakati ukweli unaonyesha kwenye maandishi yao kuwa bado ni wajinga!
We ujinga wako hujauona? Tafiti za Twaweza zilithibitisha pasina shaka kuwa CCM inapendwa na wajinga kama wewe.

Kuharibu elimu ili kuzalisha wajinga wengi zaidi wanaoiunga mkono ccm ni moja ya sera muhimu sana ya ccm ya miaka nenda rudi, ndiyo maana viongozi wa ccm wanasema elimu bure ila watoto wao wanawapeleka Feza, IST, ISM na nyingine kama hizo. Huwezi kuwasikia watoto wao wanasoma Shule ya Msingi Mzimuni.
 
We ujinga wako hujauona? Tafiti za Twaweza zilithibitisha pasina shaka kuwa CCM inapendwa na wajinga kama wewe.

Kuharibu elimu ili kuzalisha wajinga wengi zaidi wanaoiunga mkono ccm ni moja ya sera muhimu sana ya ccm ya miaka nenda rudi, ndiyo maana viongozi wa ccm wanasema elimu bure ila watoto wao wanawapeleka Feza, IST, ISM na nyingine kama hizo. Huwezi kuwasikia watoto wao wanasoma Shule ya Msingi Mzimuni.
Kwani ujinga wako umeuona?

CCM lazima ipendwe na watu wote kwa sababu inahudumia watanzania wote! CCM ni chama ni chama cha siasa.

CCM sio kikundi cha wanaharakati au SACCOS ambacho kinahudumia aina fulani pekee ya watu.

Tafiti inaonyesha CCM inakubalika kwa asilimia 63 na watu wote wakati CHADEMA inakubalika kwa asilimia 17

CCM kukubalika.png

 
Kwa akili yako unadhani kufikiri hiyo ban Kuna sababu zipi za msingi?.

Mbuyu ulianza Kama mchicha na hiyo Ni njia ndo wameianza,subiri uone.
Mzungu Hana akili nyeusi Kama wa huku kwetu.
Tatizo kubwa la nchi hii ni ushirikina na linalofuata ni watu kutokuwa na exposure
 
Wazungu ni watu wenye akili sana na Hii ndo tofauti iliyopo baina yetu na wao
Samahani mkuu 'Lord denning' kwa kukita tena.
Nilipokujibu mara ya mwisho, sentensi hiyo hapo juu nilisahau, au nilikuwa sikuisoma.

Ulizungumzia "dunia ya wasomi," na hapo niliamini nawe ni 'msomi.'

Inanishangaza sana kusoma msomi mwenye mawazo ya aina ya mawazo kama hayo uliyoyaweka katika mstari huo niliounakili hapo juu.
 
Eeenh, nilitegemea 'kuelimishwa"; badala yake napewa mipasho! Mkuu, sioni 'elimu' yoyote uliyotoa hapa kunielimisha.

Kwanza, 'premise' ya mada yako pekee ni mbovu.

Umetoa wapi hitimisho la kwamba hayo uliyo orodhesha hapo ndio sababu za hatua wanazotegemea kuzichukua. Unajifanya kuelimika, huku hata kusoma na kuelewa kunakushinda?

Nenda kasome tena yaliyoandikwa kuhusu sababu za kutaka kuweka vikwazo vyao kwa Tanzania. Ukielewa, njoo hapa tujadili.
Nafikiri una upeo mdogo sana na siasa za dunia hii zinavyoenda. Samahani kwa kukwambia ukweli ndugu
 
Wana macho ila hawaoni. Hawa watu sijui wamelishwa nini?
Kila nchi itakayopigwa ban ina ina madhambi yake yenyewe. Ban ya Belarus siyo sawa na ban ya Tanzania au Kyrgzstan...lakini yote kwa yote sisi tunaomba Mungu hiyo ban ije mapema sana ikiambatana na vikorombwezo vyake. Maana watawala wameminya mawazo kinzani kiasi kwamba watu wanaona bora nchi iwake moto tukose wote.

Zimbabwe is calling.....
 
Kwani ujinga wako umeuona?

CCM lazima ipendwe na watu wote kwa sababu inahudumia watanzania wote! CCM ni chama ni chama cha siasa.

CCM sio kikundi cha wanaharakati au SACCOS ambacho kinahudumia aina fulani pekee ya watu.
Ndiyo maana nimekwambia wewe ni mjinga. Wapi mimi nimesema ccm haipendwi na watu wote? Zaidi ya mimi kusema tafiti zinaonesha ccm inapendwa zaidi na wajinga?

Wajinga wa Tanzania wewe mwenyewe umekiri wanazalishwa na mfumo mbovu wa elimu ambayo imekuwa chini ya usimamizi wa ccm tangu mkoloni mweupe aondoke. Sasa sijui utamlaumu nani kwa kuwepo wajinga wengi.
 
Ndiyo maana nimekwambia wewe ni mjinga. Wapi mimi nimesema ccm haipendwi na watu wote? Zaidi ya mimi kusema tafiti zinaonesha ccm ipendwa zaidi na wajinga?

Wajinga wa Tanzania wewe mwenyewe umekiri wanazalishwa na mfumo mbovu wa elimu ambayo imekuwa chini ya usimamizi wa ccm tangu mkoloni mweupe aondoke. Sasa sijui utamlaumu nani kwa kuwepo wajinga wengi.
Wewe huwezi kujua ujinga wako kwa sababu umechanganyikana na upumbavu!

CCM inapendwa zaidi na wajinga kwa kipimo gani?

Kwa kukusaidia ni kuwa CCM inapendwa zaidi na watu wote kwa kipimo cha kulinganisha na vyana vingine vya siasa.

Angalia hii tafiti kwa undani ili uelewe maana ya CCM kupendwa zaidi na watu wote.
CCM kukubalika.png
 
Kwa kukusaidia ni kuwa CCM inapendwa zaidi na watu wote kwa kipimo cha kulinganisha na vyana vingine vya siasa.
Unazidi kuthihirisha ujinga wako. CCM kupendwa na watu wote kwa kipimo cha kulinganisha na "vyama vingine" mbona hilo liko wazi? Au ulitaka ilinganishwe na TABOA? Point yako ni nini haswa?
 
Unazidi kuthihirisha ujinga wako. CCM kupendwa na watu wote kwa kipimo cha kulinganisha na "vyama vingine" mbona hilo liko wazi? Au ulitaka ilinganishwe na TABOA? Point yako ni nini haswa?
Huwezi kujua point yangu kwa sababu kama nilivyosema, tatizo ujinga wako umechanganyikana na upumbavu!

Kama ingekuwa ni ujinga pekee nadhani ingekuwa ni rahisi kukuelimisha, hata hivyo nitajitahidi kukuelimisha polepole!
CCM kukubalika.png
 
Watanzania wajinga kweli, mmarekana amekasirishwa na msimamo wa Tanzania kigomea kuwapa majina ya watanzania, kama ushirikiano wa terrorism, kila nchi ina haki ya kuchunga watu wake na kuhifadhi siri zao.

Kama USA wangekuwa na tatizo na viongozi wa serekali ya magufuli, Ban wangeekewa jao viongozi sio nchi nzima. Mfano kenya, kuna viongozi wabadhirifu ambao wamekula rushwa na kuiba mali za umma, hao wamenyimwa visa za USA .

Hii tabia ya kushanikia uonevu tunaofanyiwa na mataifa ya watu weupe, ni utumwa, hili lingefanywa na nchi ya kiafrika, tingeona matusi na kelele nyingi, lakini kwa ngozi nyeupe tunasujudu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani ujinga wako umeuona?

CCM lazima ipendwe na watu wote kwa sababu inahudumia watanzania wote! CCM ni chama ni chama cha siasa.

CCM sio kikundi cha wanaharakati au SACCOS ambacho kinahudumia aina fulani pekee ya watu.

Tafiti inaonyesha CCM inakubalika kwa asilimia 63 na watu wote wakati CHADEMA inakubalika kwa asilimia 17


Ccm sio chama cha siasa bali ni kikundi cha dola kilichojivika koti la chama cha siasa ili kuhadaa umma. Ukiona chama cha siasa kanatumia mabavu na ghiliba ili kulazimisha kubaki madarakani, ujue hicho sio chama cha siasa bali kikundi cha kijeshi.
 
Watanzania wajinga kweli, mmarekana amekasirishwa na msimamo wa Tanzania kigomea kuwapa majina ya watanzania, kama ushirikiano wa terrorism, kila nchi ina haki ya kuchunga watu wake na kuhifadhi siri zao.

Kama USA wangekuwa na tatizo na viongozi wa serekali ya magufuli, Ban wangeekewa jao viongozi sio nchi nzima. Mfano kenya, kuna viongozi wabadhirifu ambao wamekula rushwa na kuiba mali za umma, hao wamenyimwa visa za USA .

Hii tabia ya kushanikia uonevu tunaofanyiwa na mataifa ya watu weupe, ni utumwa, hili lingefanywa na nchi ya kiafrika, tingeona matusi na kelele nyingi, lakini kwa ngozi nyeupe tunasujudu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu ni mara mia tunyanyaswe na ngozi nyeupe maana hawana vinasaba na sisi, kuliko kunyanyaswa na nyani wenzetu bila ridhaa yetu.
 
Msiseme hamkuonywa au hamkuambiwa.

Chukueni hatua kumshauri Mh. Raisi afanye yafuatayo

1. Awaondoe Waziri wa Mambo ya Nje na Mambo ya Ndani-

2. Afanye maamuzi juu ya kesi za Wanaharakati - Ziondolewe zote.

3. Asitishe baadhi ya sheria hasa zilizopigiwa kelele.

Narudia tena, wakati ndio sasa msipoangalia hawa jamaa wanaenda kuwa surprise kwenye uchaguzi mkuu.

They now mean business na mnaenda kuwa KANU ya kenya.

Asanteni
Jiwe ndio mpanga mipango yote hakuna jambo la awamu hii ambalo yeye hajatoa baraka jamaa ni binamu wa idd amin

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ccm sio chama cha siasa bali ni kikundi cha dola kilichojivika koti la chama cha siasa ili kuhadaa umma. Ukiona chama cha siasa kanatumia mabavu na ghiliba ili kulazimisha kubaki madarakani, ujue hicho sio chama cha siasa bali kikundi cha kijeshi.
Hizi hoja zako kawape TWAWEZA ambao wametuletea utafiti wa vyama vya siasa!

Kawaulize TWAWEZA kwa nini wameleta utafiti kuhusu kukubalika kwa vyama vya siasa kikiwemo CCM wakati CCM ni kikundi cha kijeshi?
 
Hizi hoja zako kawape TWAWEZA ambao wametuletea utafiti wa vyama vya siasa!

Kawaulize TWAWEZA kwa nini wameleta utafiti kuhusu kukubalika kwa vyama vya siasa kikiwemo CCM wakati CCM ni kikundi cha kijeshi?

Huoni hicho kikundi cha kijeshi kimeshikilia passport yake?
 
Back
Top Bottom