CCM Msiseme hamkuonywa au hamkuambiwa

CCM Msiseme hamkuonywa au hamkuambiwa

Lord Denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
23,491
Reaction score
57,959
Msiseme hamkuonywa au hamkuambiwa.

Chukueni hatua kumshauri Mh. Raisi afanye yafuatayo

1. Awaondoe Waziri wa Mambo ya Nje na Mambo ya Ndani-

2. Afanye maamuzi juu ya kesi za Wanaharakati - Ziondolewe zote.

3. Asitishe baadhi ya sheria hasa zilizopigiwa kelele.

Narudia tena, wakati ndio sasa msipoangalia hawa jamaa wanaenda kuwa surprise kwenye uchaguzi mkuu.

They now mean business na mnaenda kuwa KANU ya kenya.

Asanteni
 
It doesn't work that way bruda. Wamarekani wana interest zao na na ndio wanazozilinda, ikatokea wakaongea na serikali wakaelewana wenyewe basi wengine wote wanakua sacrificed wala haitajali kama walikua wanafanyakazi kwa maslahi ya Marekani

Hata ku manipulate uchaguzi hawawezi. Serikali zilizopo madarakani hasa kwenye nchi za Afrika zina turufu ya mwisho kuhusu chaguz na washindi wa chaguzi hasa za wakuu wa nchi. Mabeberu watakachofanikiwa ni kuhujumu uchumi na ku create chaos na mwisho wa siku muathirika ni mwananchi wa kawaida asiye na hatia
 
It doesn't work that way bruda. Wamaerakani wana interest zao na ikatokea wakaongea na serikali wakaelewana wenyewe hao wote wanakua sacrificed wala haitajali kama walikua wanaganyakazi kwa maslahi ya Marekani

Hata ku manipulate uchaguzi hawawezi. Serikali zilizopo madarakani hasa kwenye nchi za Afrika zina turufu ya mwisho kuhusu chaguzi hasa za wakuu wa nchi. Watakachofanikiwa ni kuhujumu uchumi na ku create chaos na mwisho wa siku muathirika ni mwananchi wa kawaida asiye na hatia
Muulize Jammeh kama hawawezi au wanaweza kumanipulate uchaguzi
 
Msiseme hamkuonywa au hamkuambiwa.

Chukueni hatua kumshauri Mh. Raisi afanye yafuatayo

1. Awaondoe Waziri wa Mambo ya Nje na Mambo ya Ndani-

2. Afanye maamuzi juu ya kesi za Wanaharakati - Ziondolewe zote.

3. Asitishe baadhi ya sheria hasa zilizopigiwa kelele


Narudia tena, wakati ndio sasa msipoangalia hawa jamaa wanaenda kuwa surprise kwenye uchaguzi mkuu.

They now mean business na mnaenda kuwa KANU ya kenya.

Asanteni
Endelea kuota! Hii itawaumiza sana wasaliti itabidi waamue kuwa wakimbizi au warudi home washughulikiwe!
 
Marekani, kuna Msukuma mmoja anaitwa Pascal Mayalla, huyu ndio aliyemchongea Erick Kabendera kwa Magufuli ili aozee jela, msimsahau kwenye orodha ya watakao simama kizimbani kwenye mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa haki za binadamu ICC
Hopeless! Wasaliti itabidi muamue kuwa wakimbizi au mrudi TZ mshughulikie!
 
Sasa si ndio mtaingia madarakani cdm
 
Endelea kuota! Hii itawaumiza sana wasaliti itabidi waamue kuwa wakimbizi au warudi home washughulikiwe!
Nchi hii hamna aliyefika kiwango cha kuwa Msaliti. Tatizo ni kuwa kuna kundi la wajanja wasio na exposure waliomzunguka Mh. Raisi ambao kila siku wamekuwa wakimuingiza Chaka na kumpa tensions zisizostahili
 
Muulize Jammeh kama hawawezi au wanaweza kumanipulate uchaguzi
Jammeh alijiamini sana na akaamua kuweka sawa uwanja wa ushindani(tume huru ya uchaguzi) na pia alikosea kukubali matokeo kwa mara ya kwanza na dunia nzima ikasikia. Kwani ni marangapi amechezea sanduku la kura na akatawala bila ridhaa ya kweli ya Wagambia? Tena waliomtoa ni wenzake wa ECOMOG wala sio Wamarekani
 
#2 afanye maamuzi kwani yeye ndio mahakama?

Kwa mambo yenye maslahi kwenu ruksa kuingilia mhimili?

Hao mabwana zenu mnawahofia nyie sisi hawatubabaishi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunaomba hao watu wachukue hatua haraka tutawaunga mkono. Hatuko tayari kurudishwa utumwani misri kwenye mfumo wa chama kimoja kimabavu.
Tindo,
mimi nilivyomwelewa mleta mada - ni kwamba hao aliowataja ndio wenye matatizo, na kwa bahati mbaya sana ambayo sikuitegemea ni kama nawe unakubaliana naye, kwamba tatizo ni hao. Wakiondoshwa tu na huyu mwenye madaraka nao mambo yetu mengine yanakuwa safi!

Au kuna kitu sikipati vizuri kwenye mada hii?
 
Nchi hii hamna aliyefika kiwango cha kuwa Msaliti. Tatizo ni kuwa kuna kundi la wajanja wasio na exposure waliomzunguka Mh. Raisi ambao kila siku wamekuwa wakimuingiza Chaka na kumpa tensions zisizostahili
Who told you?
 
Tindo,
mimi nilivyomwelewa mleta mada - ni kwamba hao aliowataja ndio wenye matatizo, na kwa bahati mbaya sana ambayo sikuitegemea ni kama nawe unakubaliana naye, kwamba tatizo ni hao. Wakiondoshwa tu na huyu mwenye madaraka nao mambo yetu mengine yanakuwa safi!

Au kuna kitu sikipati vizuri kwenye mada hii?
Kuna vitu vinafanya kwenye dunia ya wasomi nafikiri huwezi kuvielewa.

Ngoja nikuelimishe. Ndo mana unaonaga kwenye maandamano ya wananchi viongozi wanavunjaga mabalaza ya mawaziri. Unafikiri tatizo ni hayo mabalaza ya mawaziri???

Kuna vitu ukifanya utaonekana kuwa umesikiliza their concerns hivyo kuwafanya waache au warudi nyuma kwenye mipango yao dhidi yako.


Wazungu ni watu wenye akili sana na Hii ndo tofauti iliyopo baina yetu na wao
 
Tindo,
mimi nilivyomwelewa mleta mada - ni kwamba hao aliowataja ndio wenye matatizo, na kwa bahati mbaya sana ambayo sikuitegemea ni kama nawe unakubaliana naye, kwamba tatizo ni hao. Wakiondoshwa tu na huyu mwenye madaraka nao mambo yetu mengine yanakuwa safi!

Au kuna kitu sikipati vizuri kwenye mada hii?

Mimi nimewataka hao wachukua hatua wa nje wafanye yao.
 
Kuna vitu vinafanya kwenye dunia ya wasomi nafikiri huwezi kuvielewa.

Ngoja nikuelimishe. Ndo mana unaonaga kwenye maandamano ya wananchi viongozi wanavunjaga mabalaza ya mawaziri. Unafikiri tatizo ni hayo mabalaza ya mawaziri???

Kuna vitu ukifanya utaonekana kuwa umesikiliza their concerns hivyo kuwafanya waache au warudi nyuma kwenye mipango yao dhidi yako.


Wazungu ni watu wenye akili sana na Hii ndo tofauti iliyopo baina yetu na wao
Eeenh, nilitegemea 'kuelimishwa"; badala yake napewa mipasho! Mkuu, sioni 'elimu' yoyote uliyotoa hapa kunielimisha.

Kwanza, 'premise' ya mada yako pekee ni mbovu.

Umetoa wapi hitimisho la kwamba hayo uliyo orodhesha hapo ndio sababu za hatua wanazotegemea kuzichukua. Unajifanya kuelimika, huku hata kusoma na kuelewa kunakushinda?

Nenda kasome tena yaliyoandikwa kuhusu sababu za kutaka kuweka vikwazo vyao kwa Tanzania. Ukielewa, njoo hapa tujadili.
 
Back
Top Bottom