Lord Denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 23,491
- 57,959
Msiseme hamkuonywa au hamkuambiwa.
Chukueni hatua kumshauri Mh. Raisi afanye yafuatayo
1. Awaondoe Waziri wa Mambo ya Nje na Mambo ya Ndani-
2. Afanye maamuzi juu ya kesi za Wanaharakati - Ziondolewe zote.
3. Asitishe baadhi ya sheria hasa zilizopigiwa kelele.
Narudia tena, wakati ndio sasa msipoangalia hawa jamaa wanaenda kuwa surprise kwenye uchaguzi mkuu.
They now mean business na mnaenda kuwa KANU ya kenya.
Asanteni
Chukueni hatua kumshauri Mh. Raisi afanye yafuatayo
1. Awaondoe Waziri wa Mambo ya Nje na Mambo ya Ndani-
2. Afanye maamuzi juu ya kesi za Wanaharakati - Ziondolewe zote.
3. Asitishe baadhi ya sheria hasa zilizopigiwa kelele.
Narudia tena, wakati ndio sasa msipoangalia hawa jamaa wanaenda kuwa surprise kwenye uchaguzi mkuu.
They now mean business na mnaenda kuwa KANU ya kenya.
Asanteni