JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,389
- 9,664
Unalazimisha Sana mambo .. yaani Ilimuradi tu uturudishe nyuma kwà Marehemu.Kama hujui hata tozo unazolalamikia ni 'made in Jiwe' wala hata usingejipendekeza kwa mzimu!
NB: Ninachounga mkono ni kuanzishwa kwa mkoa wa Chato ili tudhibiti wahamiaji haramu kutoka nchi za wenye shari na sisi!
Mwache Mama afanye kazi zake kwà Uhuru.
Unataka kusema mama ana copy tu hata vitu visivyo na manufaa kwà wananchi?
Tafadhari bana. ..acha mzimu ukutese wewe na familia yako pengine na ukoo wako na kizazi chako
Sisi tunasonga mbele kwà kuangalia waliopo madarakani..