sunshine1
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 539
- 294
Iko Danieli 5:1-31.
Neno LA kibiblia agano LA kale kama sikosei mlango wa Daniel
Neno LA kibiblia agano LA kale kama sikosei mlango wa Daniel
Mayalla kikwetu maana yake njaa, vipi mkuu tufukue hili kaburi. Je, wewe ulipata jibu ?Wanabodi,
Hili neno "Mene Mene Tekeli na Peresi", lililetwa humu jf kwa mara ya kwanza na mmoja wa Ma Great Thinkers wetu humu, Mkuu Mzee Mwanakijiji, kwenye uzi wake huu.
[h=1] "Mene Mene Tekeli na Peresi"!
[/h]
Hii ilikua ni 17th October 2006, mwaka mmoja tuu tangu Dr. Jakaya Mrisho Kikwete aingie madarakani.
Leo ni miaka 9 baadaye, ukiwa umebakia mwezi mmoja tuu Dr. Kikwete amalize muda wake kwenye uongozi akiwa anajiandaa kuondoka madarakani na kuikabidhi nchi kwa atakayemfuatia, jee bado CCM ni "Mene Mene Tekeli na Peresi?!" au sasa mambo yamebadilika?.
Nawatakia Iddi Njema.
Pasco
Duh...!.Ufalme wako umepimwa kwenye mzani na umepungua na amepewa mtu mwingine!
Duh...!.
P
Wanabodi,
Hili neno "Mene Mene Tekeli na Peresi", lililetwa humu jf kwa mara ya kwanza na mmoja wa Ma Great Thinkers wetu humu, Mkuu Mzee Mwanakijiji, kwenye uzi wake huu.
[h=1] "Mene Mene Tekeli na Peresi"!
[/h]
Hii ilikua ni 17th October 2006, mwaka mmoja tuu tangu Dr. Jakaya Mrisho Kikwete aingie madarakani.
Leo ni miaka 9 baadaye, ukiwa umebakia mwezi mmoja tuu Dr. Kikwete amalize muda wake kwenye uongozi akiwa anajiandaa kuondoka madarakani na kuikabidhi nchi kwa atakayemfuatia, jee bado CCM ni "Mene Mene Tekeli na Peresi?!" au sasa mambo yamebadilika?.
Nawatakia Iddi Njema.
Pasco
Hakika. .Mungu ni wetu sote. Andiko la mene mene tekel peres linaishi hata sasa.
Mene = measured
Mene = measured
Tekel = divided
Peres = Given to Persians
Hiyo Mene (measured) imejirudia mara mbili. Ndio kusema Mungu ni mtulivu sana kwa kazi zake. Alimpima Belshazzar mara ya kwanza, akajiuliza, nimekosea ama ni nini, mbona hatoshi? Akampima mara ya pili, jibu ikawa bado hatoshi, akamweka kwenye mzani wa haki, akapwaya...akaona isiwe tabu...akaugawanya utawala ule mara mbili akiwapa Medes and Persians mapema kabla usiku ule haujakucha.
Mene Mene Tekel Peres inaishi hata Leo. Vile anawapima watawala ndivyo anapima kila mwanadamu...
Hili la CCM kupita kwenye Mene Mene Tekel Peres halikwepeki.
Swali linalobakia ni ikiwa Peres ya CCM imeshafika ama bado, maana hiyo order should be observed. It's a norm in the Kingdom of Lord Almighty.
Nikutakie Noel njema mkuu Pascal Mayalla.
Wanabodi,
Je bado CCM ni "Mene Mene Tekeli na Peresi?!" au sasa mambo yamebadilika?.
Pasco
Swali hili bado liko valid!Huwezi ukamdharau Mungu kiasi hiki eti unavamia sehemu ya ibada mnamchukulia Mungu poa, this time mtaelelewa Kwann Elia alisema na ijulikane Yuko Mungu!
Menemene tekeli na peresi
Laiti ungejua ni nn tunaomba, tunamwambia amungu kwenye kiti chake Cha enzi ,aisee.anyway ngoja nikae kimya wakati SI tutakua tunamaliza 40, Gwajima atakua anamaliza 7 zake za maji tu, kule Kwa mtt wake watakua Bado Wana 2 weeks za kumaliza 50 zao , na kwingineko.....Swali hili bado liko valid!
P