Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 58,884
- 132,155
Wanabodi,
Hili neno "Mene Mene Tekeli na Peresi", lililetwa humu jf kwa mara ya kwanza na mmoja wa Ma Great Thinkers wetu humu, Mkuu Mzee Mwanakijiji, kwenye uzi wake huu.
"Mene Mene Tekeli na Peresi"!
Hii ilikua ni 17th October 2006, mwaka mmoja tuu tangu Dr. Jakaya Mrisho Kikwete aingie madarakani.
Leo ni miaka 9 baadaye, ukiwa umebakia mwezi mmoja tuu Dr. Kikwete amalize muda wake kwenye uongozi akiwa anajiandaa kuondoka madarakani na kuikabidhi nchi kwa atakayemfuatia, jee bado CCM ni "Mene Mene Tekeli na Peresi?!" au sasa mambo yamebadilika?.
Nawatakia Iddi Njema.
Pasco
Hili neno "Mene Mene Tekeli na Peresi", lililetwa humu jf kwa mara ya kwanza na mmoja wa Ma Great Thinkers wetu humu, Mkuu Mzee Mwanakijiji, kwenye uzi wake huu.
"Mene Mene Tekeli na Peresi"!
Unajiuliza ni nini maneno hayo? Sikiliza!!!
PodOmatic | Podcast - KLH News - MAHOJIANO YA DR. SLAA NA ITV YALIYOBADILISHA MWELEKEO!
Hii ilikua ni 17th October 2006, mwaka mmoja tuu tangu Dr. Jakaya Mrisho Kikwete aingie madarakani.
Leo ni miaka 9 baadaye, ukiwa umebakia mwezi mmoja tuu Dr. Kikwete amalize muda wake kwenye uongozi akiwa anajiandaa kuondoka madarakani na kuikabidhi nchi kwa atakayemfuatia, jee bado CCM ni "Mene Mene Tekeli na Peresi?!" au sasa mambo yamebadilika?.
Nawatakia Iddi Njema.
Pasco