CCM Mbeya mjini waijibu CHADEMA

CCM Mbeya mjini waijibu CHADEMA

Ndiyo maana Magufuli hapa Mwanza alifunga shule zote ili uwanja ujae. Na kweli ulijaa, zaidi ya 60% wanafunzi watupu. Na wanavijiji walipelekewa malori. Wakazi wa mjini tukabakia watazamaji, huku tukishangaa wananzengo toka vijijini wakiletwa mjini kama magunia ya michembe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Teh teh teh...Ina maana walioijaza Kirumba kiasi kile walisombwa kutokea mbali?
 
Mkuu kama una utimamu wa akili hutakiwi kabisa kuongelea swala la kununuliwa kwa madiwani wala wabunge. Hiyo ndugu ni kujidhalilisha. Kuonekana chama fulani watu wake wananunulika kama bidhaa ni aibu kubwa kwa chama hicho. Je wakipewa jukumu la kuiongoza nchi watashindwa kuonyesha asili yao ya kununuliwa? Tumia akili wakati ukitaka kuchangia jambo
Niliwahi kisema kuwa kama CDM ni KWELI kabisa Madiwani, Wabunge, na viongozi wengine wananunuliwa.

Basi CDM si chama cha kuwapa nchi WATAUZA.

Wananunuliwa kwa pesa ya madafu, kuahidiwa cheo. Je wakipewe USD, wakiahidiwa mbunye za kizungu, na madaraka makubwa , maisha hifadhi na uraia huko ma mtoni!
Watauza kila kitu
Hapo hakuna wafia nchi
Wala Wazalendo
Mpaka sasa CDM haijaweza kujua nani ananunulika kati yao basi hata Top Leaders ni Weupe tu

Tusitishane na Magwanda au neno Kamanda, wala Msitutetemeshe
 
...pia tuambie mkutano wa Tulia hiyo jana ni wasanii gani walikuwepo, I bet lazima walikuwepo!.
 
Elius W Ndabila,

KAWAIDA YA CCM NI UONGO NA UNAFIKI HIVYO WANA MBEYA HATUWEZI KUCHAGUA WATU WA KARIBA HII. MFANO JUZI MLITUAHIDI MADEREVA BAJAJI POSHO YA 20000 NA MAFUTA 20000, KWA AJILI YA MSARFARA WENU. LAKINI TULIAMBULIA 10000 TU BILA MAFUTA. SASA TUNASEMAJE SISI WETU NI SUGU NINYI ENDELEENI KUJIDANGANYA. PIA UNAFANGANYA WATU UWANJA ULIJAA TOA USHAHIDI.
 
Hujui.....Kwani nani mwanachama wa chama chochote?......Sijui.....Usione aibu ona sasa, View attachment 1565113 pendeza eheee!!
Sasa huo umati utaulinganisha na huu!?
Mkuu acha utani
IMG-20200905-WA0039.jpg

Mimi nimehudhuria mikutano hiyo yote miwili na nimeona.
 
Mnabeba watu na kuwapa posho ili wajaze viwanja na kucheza sebene !!

Siri ilifichuka juzi kigamboni pia. Ikabidi mkutano wa saa 4 uanze saa 9 kutoa nafasi ya somba somba., hadi kufunga shule jirani.
 
Acha kudanganya watu wewe
Mimi mikutano yote miwili nimehudhuria.
Tulia alikuwa na watu wachache Sana jana Jana ukilinganisha na mkutano wa wiki iliyopita wa chadema.
Mimi si mwanachama wa chama chochote ila kwa hapa Mbeya huyu mama ana wakati mgumu mno.
Huyu mama ni mzuri ila tatizo ni Jimbo analogombea.View attachment 1564939View attachment 1564940


Ona hii ya last week

Kiwanja ni hichohichoView attachment 1564961
Mkuu njoo hapa browmer tunywe chai baada ya kazi.
 
Back
Top Bottom