CCM Mambo Yanaenda Vibaya. Tusijidanganye

CCM Mambo Yanaenda Vibaya. Tusijidanganye

After all kasema yeye ni ccm hasiyekuwa na kadi. Nilivyomuelewa pamoja na kuwa yeye ni ccm ila chama chao kina wakati mgumu huko mbeleni
 
Muda siyo mrefu nimefika nyumbani kwangu, nikamkuta mamangu ambaye, mke wangu ambaye pia ni mtumishi, mdogo wangu wa kike wote wakiwa wananisubiri. Baada ya salamu, wakaniomba kadi yangu ya CCM. Kwa vile nilikuwa sijui nini kinaendelea, na kwa nia nzuri wakati navua viatu, nikamwambia mke wangu kadi ilipo. Akaenda kuichukua, akatoka nje akalimwagia mafuta taa na kuliwasha moto.

Cha ajabu, wote hapa nyumbani na hata wake za majirani, zoezi ilikuwa ni kuchoma kadi za CCM. Madai yahoo hawataki udikteta wa CCM. Inasemekana hapa kinondoni wamechoma kadi 120. Mabazo ni za CCM. Kila mwanamke alihakikisha amechoma kadi ya mumewe

Bila kuficha, mimi ni kada mkubwa wa CCM ingawa sijabahatika kwenye teuzi, ila nimekipigania chama tangu mwaka 89. Leo nyumba yangu hakuna kadi ya CCM na mke wangu ananitishia kwamba akiniona na watu wa CCM ananiachia mji na watu wangu wa CCM. Hii inaweza kiawa na madhara makubwa sana, hasa chama dola ikiwa kwenye wakati kama huu, kwani wanawake ndio wapiga kura wakubwa wa CCM.

Mimi ni mana CCM aliyebakia bila kadi.
yaani mke wako anakusubiri urudi umuoneshe kadi yako ilipo?kwani kuna sehemu humo chumbani hagusi?
Halafu hizo ni propaganda nyepesi sana,kada wa ccm hawezi kutishwiwa nyau na mwanamke hata siku moja
 
Mkuu kama wewe ni Kada wa CCM na umekipigania chama chako cha CCM tangu 89 na unaona kuna UDIKITETA ndani ya chama cha CCM si UTOKE kimya kimya?

Kuzichoma,
Kuzitafuna ama
Kuzitupa kadi za CCM za familia yako ni UAMUZI wako mwenyewe na familia yako na haimaanishi watanzania wote walio chama hicho watachoma zao.
Kumbuka demokrasia ni haki yako ya kuhamia chama chochote ili mradi hujavunja sheria!
Si lazima UPIGE MBIU!!!

Mkuu hizo ndio mbwembwe za kisaisa, anaweza kutoka kimyakimya au hata alivyofanya, hujawahi kumuona Kinana anapiga picha na wanachama waliotoka vyama vya upinzani na kuweka vibwagizo vizuri aliyetoka chama cha upinzani anapewa dakika chake kutoa ushuhuda? Mfano mrahisi ni ule mkutano mkuu wa ccm kumchagua mwenyekiti wa sasa Dodoma, uliwaona wale wanachama waliotoka ccm walivyorudi na kupewa nafasi ya kutoa ushuhuda huko walipokuwa? japo dakika za mwisho mwenyekiti aliharibu hali ya hewa kwa kuwaita ng'ombe waliokatwa mikia?
 
Muda siyo mrefu nimefika nyumbani kwangu, nikamkuta mamangu ambaye, mke wangu ambaye pia ni mtumishi, mdogo wangu wa kike wote wakiwa wananisubiri. Baada ya salamu, wakaniomba kadi yangu ya CCM. Kwa vile nilikuwa sijui nini kinaendelea, na kwa nia nzuri wakati navua viatu, nikamwambia mke wangu kadi ilipo. Akaenda kuichukua, akatoka nje akalimwagia mafuta taa na kuliwasha moto.

Cha ajabu, wote hapa nyumbani na hata wake za majirani, zoezi ilikuwa ni kuchoma kadi za CCM. Madai yahoo hawataki udikteta wa CCM. Inasemekana hapa kinondoni wamechoma kadi 120. Mabazo ni za CCM. Kila mwanamke alihakikisha amechoma kadi ya mumewe

Bila kuficha, mimi ni kada mkubwa wa CCM ingawa sijabahatika kwenye teuzi, ila nimekipigania chama tangu mwaka 89. Leo nyumba yangu hakuna kadi ya CCM na mke wangu ananitishia kwamba akiniona na watu wa CCM ananiachia mji na watu wangu wa CCM. Hii inaweza kiawa na madhara makubwa sana, hasa chama dola ikiwa kwenye wakati kama huu, kwani wanawake ndio wapiga kura wakubwa wa CCM.

Mimi ni mana CCM aliyebakia bila kadi.
Bavicha bana...kazi kweli kweli
 
Kampeni ya Mange italeta madhara kwa CCM.
Huo ndio ukweli.
Ina maana chadema, bavicha na ukiwa kwa ujumla mmesalimu amri kwa ccm mpaka sasa mnategemea hiyo mwanamke? Sidhani kama mtaweza kuongoza nchi hii hata siku moja...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom