Temeke ndiko kutaongoza kuishikisha adabu chadema sanduku la kura ,Temeke na CHADEMA wapi na wapi? Yaani watafute sehemu zingine za kujifarijia sio Temeke .Temeke na Mbagala moto wa kuotea Mbali yaani Chadema wakae mbaliUkweli ni lazima tuuseme, kwa dar hadi sasa chadema tushapoteza majimbo ya : Temeke, Mbagala, Kibamba, Kinondoni, Ilala na Kigamboni, ni kutokana na aina ya watu tuliowaweka kulinganisha na nguvu ya ccm
Majimbo ambayo tunapaswa kuyashughulikia ni : Kawe, Segerea na Ubungo
Dah wanakimbiza mwiz kimya kimya wana play low profile ili in case atapita magu bahati mbaya wasiathirike sn kama wkt wa lowasa baada ya kushindwa lkn machungu waliyonayo dhidi ya huyo mtu hayaelezekiKipindi hiki Cha uchaguzi naona Dar Kama imepoa Sana , na mikoani ndo wako hot kuleta vuguvugu la mabadiriko
Mbona mtu anaeitwa "Pombe" "Magufuli" kawa kiongozi? Japo ni wa hovyoMtu anaitwa"Sina"anaanzaje kushinda kwa mfano,alafu ni "Manzi"mwenye jicho nyanya kama katoka kuvuta wida.
Haya maneno sijayasikia kwenye kampeni za chama chako. Maneno makuu ni:umaarufu wa Chama chake cha Chadema , chama kinachohubiri maendeleo ya watu na uhuru ukimbeba .
Lini umehamia CHADEMA?Ukweli ni lazima tuuseme, kwa dar hadi sasa chadema tushapoteza majimbo ya : Temeke, Mbagala, Kibamba, Kinondoni, Ilala na Kigamboni, ni kutokana na aina ya watu tuliowaweka kulinganisha na nguvu ya ccm
Majimbo ambayo tunapaswa kuyashughulikia ni : Kawe, Segerea na Ubungo
Wewe umeyasikiliza maneno yote ya CHADEMA kwenye kampeni zote?Haya maneno sijayasikia kwenye kampeni za chama chako. Maneno makuu ni:
Magufuli ni mwizi
Jeuri yake kwisha kabisaLeo kapiga magoti mafinga ili kuomba kura
Kupiga magoti ni kawaida kwa wanyaikoro au hujui?Mkuu si upige magoti tu. Kwani shida iko wapi mwenyeliti mwenyewe kasalimu amri
Hehehehe kutoka kupiga push up hadi kupiga magoti na kujilizaliza kama makondaKupiga magoti ni kawaida kwa wanyaikoro au hujui?
😆😆😆😆Hehehehe kutoka kupiga push up hadi kupiga magoti na kujilizaliza kama makonda