CCM kwenye hatua ya total paralysis

CCM kwenye hatua ya total paralysis

Daah !! ccm kwisha kabisa na hawawezi tena kumpata mtu kama magufuli wa kuwabeba maana ufisadi waliofanya 2005-2015 ulifanya chama kiwe kituko Magu as akaja kuokoa jahazi sasa hivi sijui kama watampata mtu kama Magufuli wakuwaokoa.
 
Daah !! ccm kwisha kabisa na hawawezi tena kumpata mtu kama magufuli wa kuwabeba maana ufisadi waliofanya 2005-2015 ulifanya chama kiwe kituko Magu as akaja kuokoa jahazi sasa hivi sijui kama watampata mtu kama Magufuli wakuwaokoa.
Niliamini CCM ingemfia mikononi mwa Kikwete; na hili niliiandika humu, lakini kwa miujizaujiza ikabaki hai na kushikwa na Magufuli.

Ki ukweli Magufuli hakuijenga CCM iwe imara; yeye juhudi zake zilikuwa ni binafsi, kupambana na hayo ya rushwa; lakini huko ndani ya CCM uozo na muundo wake mbovu ukabaki vilevile.
Ilipoangukia mikononi mwa huyu kilaza kabisa Samia; hapa ndipo kama kweli itaendelea kuwepo kama chama cha siasa, huu nao utakuwa ni muujiza wa kipekee sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom