born again pagan
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 2,333
- 1,499
Imeelezwa vizuri kabisaHiyo imeandikwa kwenye Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano Tanzania??
Imeelezwa vizuri kabisaHiyo imeandikwa kwenye Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano Tanzania??
BAP hebu leta kifungu cha Katiba ya Jamhuri ya Muungano kinachoeleza hivyo.Imeelezwa vizuri kabisa
Yeye ni nani kwenye serikali??Tatizo la polepole anatafuta umaarufu binafsi. Serikali aifanyi kazi kwa kupigiana simu za usiku.
Mimi ninachoshangaa ni chairman Mbowee kuwa Mwenyekiti wa kudumu pale ufipa kwani hakuna wa kupokea kijiti?Kwa ivo kwa kufuata Katiba ya Jamhuri ya Muungano Tanzania, Mbunge anayo mamlaka ya kumpigia Simu IGP na kumuagiza afanye Jambo??
Hizi Story Vibendera Tokea Mwaka 1995Pamoja na kuwa na wabunge zaidi ya 300 Bungeni, lakini kutokana na CCM kuwa na uchakavu, bado kinamhitaji Humphrey Polepole kupokea Simu za wananchi, ili kiweze kuisimamia Serikali.
AIBU SANA!!
Pamoja na kuwa na wabunge zaidi ya 300 Bungeni, lakini kutokana na CCM kuwa na uchakavu, bado kinamhitaji Humphrey Polepole kupokea Simu za wananchi, ili kiweze kuisimamia Serikali.
AIBU SANA!!
RIP LwajabeHivi kwa mfano mtumishi wa umma atakayekataa kupokea Simu au kutekeleza
Maelekezo ya Polepole. Atafanywa nini??
Hilo daraja lina tija gani ?Mkuu unateseka na Nini Sasa. Mbona uzi hauna Kichwa wala miguu. JF imevamiwa na wanachama wa CHadema. Hawana tena IQ. Akili yao imekunywa damu ya CHadema. Aibu. Kuna mambo mengi ya msingi yanafanyika . Afu kama nakumbuka. Wakati jamaa mmoja alipouliza mbona Halima Mdee jimboni kwake hafanyi kazi. Mwanachadema akasema sio kazi ya mbunge. Sasa mbona nyie watu Mnakuwa vyura. Hamjulikani mmeinama mmesimama au mmechuchumaa. By the way Kuna lidaraja la wapi sijui kule ziwa Victoria nk. Ukatembelee. Kama nauli tatizo Sema. Kuna dalili kubwa huyu jamaa ndo mkurugenzi wa Igunga. Mana kakurupuka.
Futa kauli yako, siyo mzee Polepole, at setefaivu yu koo imu mzee!Hii ni serikali ya kiki na maigizo lukuki. Kwahiyo anachofanya mzee Polepole ni Futuhi yenye lengo la kutafuta kiki
Sasa uongozi au serikali iliyopo madarakani ni ya "Saccos" au ya CCM .Kwanza tuulizane. Polepole zile Simu anapiga kwa nafasi yake ya Ubunge wa kuteuliwa ama kama Katibu Mwenezi wa CCM?
Wabunge wengine wa kuteuliwa kama Polepole wanaweza kupiga Simu na kuwaagiza wakuu wa serikali na vyombo vya dola kufanya Jambo lolote lile!!??
CCM wote ni wachawi na mashetaniPamoja na kuwa na wabunge zaidi ya 300 Bungeni, lakini kutokana na CCM kuwa na uchakavu, bado kinamhitaji Humphrey Polepole kupokea Simu za wananchi, ili kiweze kuisimamia Serikali.
AIBU SANA!!
Hawakufanywa chochote na wasingelifanywa chochote kwa kutopokea simu za chakubanga maana ile ilikuwa sanaa na wao maccm wanaamini watanzania huamini katika tetesi na maneno kuliko vitendo!! Ndio maana kuna watu walishangilia daktari wa zahanati yao kijijini kutumbuliwa kisha baadae wakajuta kwa kukosa daktari katika zahanati hiyo!!!Hivi kwa mfano mtumishi wa umma atakayekataa kupokea Simu au kutekeleza
Maelekezo ya Polepole. Atafanywa nini??
Hii kazi ya kupokea simu mbona imekwisha ghafula?...kuna aliyemzuia Comrade Polepole kuifanya?Pamoja na kuwa na wabunge zaidi ya 300 Bungeni, lakini kutokana na CCM kuwa na uchakavu, bado kinamhitaji Humphrey Polepole kupokea Simu za wananchi, ili kiweze kuisimamia Serikali.
AIBU SANA!!