CCM kweli imechoka

CCM kweli imechoka

Hujui maana ya kusimamia.

Kusimamia nini sasa?

Sisi hapa tunajua wenye wajibu wa kuisimamia Serikali ni wabunge kupitia kwenye vikao vya Bunge na si Serikali kusimamiwa na Katibu Mwenezi wa Chama kinachounda Serikali.

Polepole anadekezwa tu!!
 
Pamoja na kuwa na wabunge zaidi ya 300 Bungeni, lakini kutokana na CCM kuwa na uchakavu, bado kinamhitaji Humphrey Polepole kupokea Simu za wananchi, ili kiweze kuisimamia Serikali.

AIBU SANA!!
Acha kujiabisha mkuu
 
Sheria haina umuhimu awamu hii.

Kukataa kupokea Simu ya katibu mwenezi wa chama dola ni kujitafutia balaa, watumishi wote wa umma wanafahamu hilo.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Sasa vurumai za kuwapata wabunge wote wale zilikuwa zina faida gani?
Zipo faida nyingi we mnyalukolo...
1. Ruzuku....chama chenye wabunge wengi ruzuku nayo ni kubwa.

2. Kukubalika....kwenye Democratic election yoyote ile kila chama kinajitahidi Ku win majority kuonesha kukubalika kwako.

Upo hapo Mwalimu?
 
Zipo faida nyingi we mnyalukolo...
1. Ruzuku....chama chenye wabunge wengi ruzuku nayo ni kubwa.

2. Kukubalika....kwenye Democratic election yoyote ile kila chama kinajitahidi Ku win majority kuonesha kukubalika kwako.

Upo hapo Mwalimu?
BAP umeiepa hoja yangu.

Katibu mwenezi wa chama cha siasa kinachounda serikali ,ana mamlaka kwa watumishi wa Umma hadi awe anawapigia simu kuhoji utendaji kazi wao??
 
BAP umeiepa hoja yangu.

Katibu mwenezi wa chama cha siasa kinachounda serikali ,ana mamlaka kwa watumishi wa Umma hadi awe anawapigia simu kuhoji utendaji kazi wao??
Yupo pale kama chama.....kumbuka chama kilichounda serikali ndo kina jukumu la kuisimamia serikali kwenye utendaji wake?

Sio jukumu la opposition parties kuisimamia serikali Bali ni jukumu la chama tawala.....hivyo Polepole kwa niaba ya chama tawala yupo sahihi sana.

Una lingine?
 
KWANI NI LINI CCM NA WATU WAKE WALIWAHI KUJUA WANACHOFANYA? USHAHIDI WA KWAMBA HUWA HAWAJUI WANAFANYA NINI NI HUU WA KUWALAZIMISHA COVID-19 WAINGIE KWA NGUVU BUNGENI BAADA YA KUJA KUAMBIWA KUWA NCHI YETU NI YA MFUMO WA VYAMA VINGI HIVYO BUNGE NALO SHARTI LIWE NA WABUNGE WA UPINZANI MAANA KWA HAIWEZEKANI CHAMA KIMOJA NDANI YA MFUMO HUO KIPENDWE NA WOTE. PIA MISAADA HUTOLEWA KWA NCHI INAYOZINGATIA DEMOKRASIA.
 
Back
Top Bottom