Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,748
- 50,169
Pamoja na kuwa na wabunge zaidi ya 300 Bungeni, lakini kutokana na CCM kuwa na uchakavu, bado kinamhitaji Humphrey Polepole kupokea Simu za wananchi, ili kiweze kuisimamia Serikali.
AIBU SANA!!
AIBU SANA!!