GE2025 CCM kwanza na taifa baadae ya Humphrey Polepole

GE2025 CCM kwanza na taifa baadae ya Humphrey Polepole

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Hoja ya Polepole wakati akihojiwa na Jenerali Ulimwengu kuwa eti Mwenyekiti wa CCM ana nguvu kuliko Rais ni ya ajabu sana.
Pengine hajui kuwa Rais akiamua kukunjua makucha yake anaweza kumpoteza huyo Mwenyekiti kwa kesi ya uhujumu uchumi.
Ujinga kumvisha rais kama mungu, ndio maana watu wanadai katiba mpya kupunguza huu ujinga.

Eti makucha
 
Back
Top Bottom