GE2025 CCM kwanza na taifa baadae ya Humphrey Polepole

GE2025 CCM kwanza na taifa baadae ya Humphrey Polepole

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Kama ninaiona misokwe flani ilivyonuna humu saa hizi. Haiamini onachoshuhudia baada ya threads zao nyingiiiiiiiiiiii za kuwaaminisha ujinga wajinga wa humu jf......of course tubawaita nyumbu sababu ni nyumbu.
Ila chama cha wazee mna jazba vibaya. Subiri watu wachakate maamuzi waje na mitazamo mbadala. Mkutano huo ulikuwa ni hotuba na sio kikao cha kujadiliana.
 
Kama upigi tutakupigia tu

ata kwa rip JPM mligoma mkidai JPM nyampala

lkn tukawapigia kura.!! Leo mnatembelea nyota yake..
Sasa mnafanya uchaguzi wa nini kama mnaweza kuwapigia watu? Nani anatembelea nyota ya Magu?
 
Ila chama cha wazee mna jazba vibaya. Subiri watu wachakate maamuzi waje na mitazamo mbadala. Mkutano huo ulikuwa ni hotuba na sio kikao cha kujadiliana.
Sawa, karibuni. Kwakuwa hakuna kinachoendelea huko kwenu kwa maana tone tone imestukiwa na kususiwa na watu Huku nrne ipo huko korokoroni pamoja na yule raia wa ubelgiji, basi mnaweza kuungana katika jitihada zenu za kumharibia mama pengine mtafanikiwa........ila mnaweza kitafakari ni mangapi mnampangia huyu mama lakini M/Mungu anayayeyusha katika namna ya ajabu kabisa. Mnaweza kudharirika zaidi. Ni mtazamo tu lakini mnaweza kuendelea
 
Sawa, karibuni. Kwakuwa hakuna kinachoendelea huko kwenu kwa maana tone tone imestukiwa na kususiwa na watu Huku nrne ipo huko korokoroni pamoja na yule raia wa ubelgiji, basi mnaweza kuungana katika jitihada zenu za kumharibia mama pengine mtafanikiwa........ila mnaweza kitafakari ni mangapi mnampangia huyu mama lakini M/Mungu anayayeyusha katika namna ya ajabu kabisa. Mnaweza kudharirika zaidi. Ni mtazamo tu lakini mnaweza kuendelea
Sisi tuko gado, hadi taasisi za kimamlaka zimebidi ziwabebe maana dhoruba letu ni hatari, chama la wazee haliwezi mziki huo. Tonetone ipo, na kwa taarifa yako jana nimeweka mpunga huko kwenye tonetone. Hutaji jinyonge.
 
Kwa nini Hadi Sasa Polepole hajamtaja muhuni hata mmoja? Au ametumwa kuchangamsha nchi.
 
Kwa nini Hadi Sasa Polepole hajamtaja muhuni hata mmoja? Au ametumwa kuchangamsha nchi.
🤣🤣🤣🤣
Atakuwa anajipanga mwenyewe kuongea na waandishi wa habari kesho au keshokutwa. Anajadiliana na mpina pamoja na gwajima Sasa hivi kuhusu nani aanze.
 
🤣🤣🤣🤣
Atakuwa anajipanga mwenyewe kuongea na waandishi wa habari kesho au keshokutwa. Anajadiliana na mpina pamoja na gwajima Sasa hivi kuhusu nani aanze.
Atutajie hata muhuni mmoja sio Kila point anaongea KWA ujumlajumla.
 
Ni muda wa kiapo sasa,

Wajuba wameamua kama mbwai na iwe mbwai

Uhalisia wa ndani ni tofauti na mnavyoaminishwa huku nje husasan hapa JF😀

Kama timu za kina Tlaatlaah, Lucas Mwashambwa, chiembe na zile za kina Polepole zinapiga jaramba:

GwrsqPkXIAAUrBi.jpg
 
Ni muda wa kiapo sasa,

Wajuba wameamua kama mbwai na iwe mbwai

Uhalisia wa ndani ni tofauti na mnavyoaminishwa huku nje husasan hapa JF😀
Jf hii wengine wanaitumia kuwahangaisha, kuwaibia na kuwapumbaza nyumbu. Ninaposema nyumbu, enyi wapendwa wanaJF, namaanisha hawa chadema wa lissu waliojaa humu na kuzusha matamanio yao ya kishetani dhidi ya Mama la Mamama, Dr Samia Suluhu Hassan, ukipenda muite The Mother of Modern Tanzania.
 
Back
Top Bottom