GE2025 CCM kwanza na taifa baadae ya Humphrey Polepole

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Kama ninaiona misokwe flani ilivyonuna humu saa hizi. Haiamini onachoshuhudia baada ya threads zao nyingiiiiiiiiiiii za kuwaaminisha ujinga wajinga wa humu jf......of course tubawaita nyumbu sababu ni nyumbu.
Kuwa na adabu sisi hatupigii kura ni mgombea wenu siyo.wetu
 
Na hivyo ndivyo tunavyotaka....... mambo yanaenda muruaaaa kabisa.

Sasa kwanini mnahangaika kuleta uchuro huu na ule Kila dakika kwa Samia ikiwa nyie hampigi kura?!!
mjuba ushaambiwa utulie
 
Hivi vichwa vya sasahivi vingelikuwepo zamani walai tusingepata uhuru mpaka Leo.
 
Kama ninaiona misokwe flani ilivyonuna humu saa hizi. Haiamini onachoshuhudia baada ya threads zao nyingiiiiiiiiiiii za kuwaaminisha ujinga wajinga wa humu jf......of course tubawaita nyumbu sababu ni nyumbu.
Haya masokwe Fulani yameshaabika tayari yazue jingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…