Nazgur
JF-Expert Member
- Apr 19, 2020
- 3,730
- 2,850
Mfariji ni yule anaye wapelekea malinda kutoka uberigiji?Kwani Kikwete si ndiye aliyepeleka jeshi Mtwara kwa ajili ya gesi ya Msimbati? Jiwe, akawanyang'anya korosho zao. Unadhani kuchekewa huko ndio kumesafisha mioyo yao wakati walitendwa na hao hao? Wenyeji wa kusini wanahitaji mfariji na mfariji hawezi kuwa mtesi wao.
Mtu anapeleka korosho yake ghalani anaambiwa arudishe iko chini ya kiwango. Huo usumbufu unadhani ni mdogo? Subirini mpewe na nyie haki yenu. Kama vipi mkawapige shangazi zao ili wawape kura zote.
Au ni wale wanaofukuza waandishi wa habali wakati hawajawakodi huku wakisema wanatetea vyombo vya habali.