Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,801
- 71,226
Je, tumepata kujiuliza kwa kina sababu hasa ya uswahiba mkubwa uliopo kati ya CCM na Mikoa au maeneo masikini sana katika nchi hii?
Katika mikoa kama Lindi, Pwani, Dodoma, Tabora, Tanga, Ruvuma nk ambako kukuta watu wanajisaidia vichakani au barabara zao kwenda vijijini ni adhabu watu wame relax na chama tawala huku wakiwaunga mkono viongozi hadi wanapata kichaa kabisa wakiwaona kwa furaha na CCM wakichekelea na kuwaaambia watatawala daima.
Sababu ni nini? Wamelogwa au IQ ya Raia wa maeneo hayo ni ya chini kiasi hawawezi kutofautisha wao na wengine wanaishije?
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Katika mikoa kama Lindi, Pwani, Dodoma, Tabora, Tanga, Ruvuma nk ambako kukuta watu wanajisaidia vichakani au barabara zao kwenda vijijini ni adhabu watu wame relax na chama tawala huku wakiwaunga mkono viongozi hadi wanapata kichaa kabisa wakiwaona kwa furaha na CCM wakichekelea na kuwaaambia watatawala daima.
Sababu ni nini? Wamelogwa au IQ ya Raia wa maeneo hayo ni ya chini kiasi hawawezi kutofautisha wao na wengine wanaishije?
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app