Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 11,558
- 20,418
Taasisi kama CCM huwa inasimama kwa watu wake kuwa pamoja na kusimama pamoja. Ni kweli kuwa Makonda hakuwa mtu wa maana na alijaa kiburi, lakini kwa CCM kumchinjia baharini ni hatari kwao.
CCM kuwa na nguvu haitegemei wananchi bali ushirikiano wao kwa wao na mshikamano wao. Kama hawawezi kulindana ni hatari kwao. Visasi na kutupana ndani kwa ndani kutawabomoa wenyewe.
CCM kuwa na nguvu haitegemei wananchi bali ushirikiano wao kwa wao na mshikamano wao. Kama hawawezi kulindana ni hatari kwao. Visasi na kutupana ndani kwa ndani kutawabomoa wenyewe.