CCM walilea magenge ya vijana waliokua wakifanya matukio na watu kuwakemea kipindi kile wakawa hawasikii.
Boss wao akawa anaishia kuwaambia chapa kazi usisikilize hizo kelele, huku CCM hao hao wakawa wanasema sababu wanafanyiwa upinza it is alright.
Mpaka walipowageukia na wao ndio wakashtuka huyu Mr Zero ni among of the state goons ukiunganisha na kina Musiba , Sabaya na Happi hakuna mtu anayewatenga ni muda wao wa malipo umefika.
Mtoa mada hujiulizi baada ya boss wao kufa vile vigazeti uchwara vya Tanzanite na Jamvi la habari vilipotea hata wafanyakazi kutolipwa miezi kadhaa?
Hii lawama haiepukiki awamu ya 5 ni ovyo kuliko kawaida walitengeneza wahuni na wahuni wamewarudia sasa mpambane sisi tunasubiri mwisho ila huyu jambazi hasafishiki na hata ubalozi wa Marekani unalijua fika.