GE2025 Makonda ameondoa ombwe la kilichoitwa SUKUMA GANG

GE2025 Makonda ameondoa ombwe la kilichoitwa SUKUMA GANG

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

funaku

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
39,195
Reaction score
31,749
Wana wa stratejia ndani ya CCM wamefanikiwa sana kumleta Makonda Paul ambaye ni msukuma mvaa utepe mkononi unaoashiria majonzi .

Makonda ameenda kanda ya ziwa na kuhakikisha kura za "kisukuma" zinapatikana.

Heko kwao kwa wanazuoni ndani ya ccm kwa mpangilio bora wa kampeni.
 
Wana wa stratejia ndani ya CCM wamefanikiwa sana kumleta Makonda Paul ambaye ni msukuma mvaa utepe mkononi unaoashiria majonzi .

Makonda ameenda kanda ya ziwa na kuhakikisha kura za "kisukuma" zinapatikana.

Heko kwao kwa wanazuoni ndani ya ccm kwa mpangilio bora wa kampeni.
Unaelewa ulichoandika , Makonda hana influence kama mdhaniavyo huko kanda ya ziwa, yani usombe watu kujaza vichwa then kuna influence yoyote ! ila all in all hizo kura zinatafutwa kwa uchaguzi na wenye ushindani upi, mbona mnajilisha upepo sana
 
Unaelewa ulichoandika , Makonda hana influence kama mdhaniavyo huko kanda ya ziwa, yani usombe watu kujaza vichwa then kuna influence yoyote ! ila all in all hizo kura zinatafutwa kwa uchaguzi na wenye ushindani upi, mbona mnajilisha upepo sana
Anaweza Asiwe Na Influence ila ukaribu wake na Hayati na Jinsi mambo yalivoharibika katikati ilikua ni lazima wazee wa mkakati wampeleke kule ,Usishangae Dotto kuwa PM na Paulo kuukwaa Uwaziri.
 
Wana wa stratejia ndani ya CCM wamefanikiwa sana kumleta Makonda Paul ambaye ni msukuma mvaa utepe mkononi unaoashiria majonzi .

Makonda ameenda kanda ya ziwa na kuhakikisha kura za "kisukuma" zinapatikana.

Heko kwao kwa wanazuoni ndani ya ccm kwa mpangilio bora wa kampeni.
Mbio za mtu mmoja zinahitaji strategy gani kushinda?

Fedha wanayopoteza ingeweza kutumika kutatua shida za kweli za Watanzania masikini.
 
Amani ya Nchi kwanza
 

Attachments

  • 583319c0e3ca4061b4808b69a059c87e.jpg
    583319c0e3ca4061b4808b69a059c87e.jpg
    108.6 KB · Views: 21
Wana wa stratejia ndani ya CCM wamefanikiwa sana kumleta Makonda Paul ambaye ni msukuma mvaa utepe mkononi unaoashiria majonzi .

Makonda ameenda kanda ya ziwa na kuhakikisha kura za "kisukuma" zinapatikana.

Heko kwao kwa wanazuoni ndani ya ccm kwa mpangilio bora wa kampeni.
Unahakika,au ameliongeza?
 
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu. Machawa na mali zao tunaishi nao mitaani kwetu.

Ndugu watanzania, mafuta ya taa, petroli na viberiti havijawahi kuwa adimu.

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.

Share na mwenzako
 
Unadhani CCM ni wanyonge?
 
Chadema ilikuwa kama CHAUMMA mwaka 95 hadi 2005
Chadema ilishakua na wabunge,madiwani na halmashauri kadhaa tokea 1995. Hao chaumma wana diwani hata mmoja?

Samia hata bila campaign angeshinda tu maana anagombea mwenyewe. So usimpe makonda sifa kwenye hamnazo, hana ushawishi wowote kwa wasukuma in fact wanamuona msaliti tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom