funaku
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 39,195
- 31,749
Wana wa stratejia ndani ya CCM wamefanikiwa sana kumleta Makonda Paul ambaye ni msukuma mvaa utepe mkononi unaoashiria majonzi .
Makonda ameenda kanda ya ziwa na kuhakikisha kura za "kisukuma" zinapatikana.
Heko kwao kwa wanazuoni ndani ya ccm kwa mpangilio bora wa kampeni.
Makonda ameenda kanda ya ziwa na kuhakikisha kura za "kisukuma" zinapatikana.
Heko kwao kwa wanazuoni ndani ya ccm kwa mpangilio bora wa kampeni.