CCM Kumbe ilikuwa ni nguvu ya Soda

CCM Kumbe ilikuwa ni nguvu ya Soda

hamna jipya
2.jpg
 
Sasa hivi wamegundua kwamba bila kuongozana na wasanii hawauzi.
Naomba kuuliza gharama wanazozitumia kwenye kampeni zao za kulipa wasanii wote wale, haziingii kwenye gharama za uchaguzi? Ni formula gani inayotumika ku-calculate gharama za uchaguzi? Au kwasababu tume inawaogopa? Maana tumeshuhudia wakizidisha mpaka muda wa kampeni mara mbili lakini jamaa zetu wameufyata! Wanazidiwa hata na bi asha bakari aliyeufyatua!

proxy


images


Bila hii kitu chadema hawauzi
 
Huyo alieandika kuwa Magufuli anasafiri chini adanganye haohao,Leo Magufuli kaja na ndege mkoani Mara
 
Lowassa hatashinda. Kosa la ukawa ni la kimkakati. Kama Dk Slaa angesikilizwa ushindi kwa ukawa ingekuwa asubuhi.
Dk Slaa alitaka kuwaandaa wagombea wote kwa kuwapa mafunzo. Mjue sasa hivi kampeni za majimboni kwa upande wa ukawa zimedorora. Wakati CCM wameanza kampeni za nyumba kwa nyumba ukawa bado wako ngazi ya taifa. Ni kweli Lowasa anapata mapokezi makubwa zaidi ya Magufuli. Lakini Lowasa anaenda sehemu chache sana kulinganisha na Magufuli. Lowasa anapita angani. Magufuli anapita chini. Magufuli amekuwa akikutana na watu wengi sana njiani wanaomsimamisha awasalimie. Huwezi kusema hata hao wamesombelewa na magari na kupewa pesa.
Mwendelezo wa kampeni anapotoka Magufuli ni mkubwa kuliko wa ukawa.
Awali nilifikiri CCM walihitaji kuchakachua ili washinde. Nilikosea. Watashinda bila kuiba kura ila kwa kampeni za kila aina, halali na haramu. Hata hivyo, ushindi wa CCM hautakuwa mkubwa.

kwaiyo wakimsalimia ndo wanampa kura?
 
Huyo alieandika kuwa Magufuli anasafiri chini adanganye haohao,Leo Magufuli kaja na ndege mkoani Mara

hahahaa iv humu huwa wanafikiri wote tunakaa sehemu moja tu hatujui kinachoendelea?
 
Hii hatari sana aisee. Watz wanataka mabadiriko wkt mafisadi wanataka kuendelea kuliibia taifa tena kwa mabavu
 
Mkoa wa arusha ccm ilifariki cjui hata n lini tena, mm mwenyewe nmemaliza sijaikuta
 
Jitekenyeni tu. Wakawa. Mnapiga punyeto ya uchaguzi kwenye mitandao. Wenzenu wanafanya kweli. Subirini October.
 
Walitangulia na baiskel ya miwa UKAWA kazi ndio inaanza rasmi




HIVI KWANI UKAWA bado wapo au ni masalia..... ya UKIWA.... Ukweli washaujua...kwa kuwasaidia tu TINGA TINGA Ameshavuka zaidi ya nusu ya kura za ushindi!!! Sasa hivi tunaongeza namba tu....

HAPAKAZITU! URAISI NI KAZI KUBWA....HATUHITAJI GENGE LA WAPIGA DILI WA KUJA KUTUCHUNA.... hapa Lowasa kule Gwajima pale Sumayi....
 
Lowassa kila konaaaaaaa

Lowassaaaaa...ukawaaaaa... ndio mpango wa Mungu...

CCM mpango wa shetani...

SHETANI hawezi MSHINDA Mungu... kamwe...

So, mashetani yamekimbia...
 
Tuwe wawazi jamani, wakati kampeni zinaanza kulikuwa na vijana kibao humu ndani ambao walikuwa wanaitetea ccm, hasa humu Jamii Forums,

Lakini kwa sasa siwaoni tena, zaidi ninachokiona ni habari za Ukawa wakizidi kufanya mabadiliko.


#hapamabadilikotu , kazi kwa muhindi.

Mkoa wa Dar naona ccm ndo imezima kabisaa, sijui labda mikoa mingine.

Lizaboni simuoni kabisa humu toka risasi ya mwisho ya ccm igonge ukuta.
 
ccm wsko bize kufikiria mbinu haramu za kushinda uchaguzi...
 
Back
Top Bottom