kuna haja ya kuuliza alifaulu kwa kukariri au aligawa uroda kwa maprof ni vipi mtu una degree unashidwa kujua nini maana na maudhui ya breaking newsna yeye kasomea udsm? Acha masihara mkuu,kana ni kweli basi majanga hayo tena
kuna haja ya kuuliza alifaulu kwa kukariri au aligawa uroda kwa maprof ni vipi mtu una degree unashidwa kujua nini maana na maudhui ya breaking newsna yeye kasomea udsm? Acha masihara mkuu,kana ni kweli basi majanga hayo tena
...karoreni,... kabuli,... Nani alikufundisha kiswahili?!!!
Kama wewe ulivyokimbilia kujibu ili ukamilishe hesabu ya buku 5 leo!
Ndugu wana jamvi,hatimaye siku na saa watanzania tulikuwa tunasubili kwa hamu ili kuweza kujua nani ataibuka kidedea katika kata nne zinazofanya uchaguzi leo jijini Arusha kwa maana ya kata ya Erelai, Kimandolu, Themi na Kaloleni.
Ni wazi sasa CCM inaenda kuibuka kidedea na kushinda kwa kishindo katika kata zote nne kwa namna ilivyojipambanua kwa sera zake kipindi cha kampeni na wananchi hasa vijana kuanza kuelewa tofauti iliyopo kati ya chama maslahi jamii(CCM)na chama maslahi binafsi(chadema)
Viva ccm,umoja ni ushindi.
Tayari upo mkuu! Usome huu hapa: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...a-kuvuruga-uchaguzi-red-brigade-kutumika.htmlKuna uzi unaletwa humu muda si mrefu kwa ajili ya malalamiko,si unajua tena hawa jamaa ni watu wa kutafuta kinga mapema,na leo wamedhibitiwa hawataweza kulipua mabomu yao ili uchaguzi uhairishwe tena.
Akili za kuazima haziwez kukusitili kichwa chako,kawapikie green gued kisha ukainamishwe.mwakilkishi wa umoja wa vichaa ccm(uvccm)
It hurts even more that UDSM today has products of Julianas caliber. A disgrace to our esteemed learning Institution.
"tayali"... Nani kakufundisha kiswahili?!!!