CCM Kugawa bure barakoa kwa wanachama wake

CCM Kugawa bure barakoa kwa wanachama wake

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
23,955
Reaction score
29,328
Leo asubuhi Jumamosi 25/04 kwenye kipindi cha Magazeti TBC, msomaji alimkariri Kate Kamba kuwa CCM itatengeneza barakoa zake na kuzigawa kwa wanachama wake.

CCM ndiyo inayopokea michango toka kwa wasamaria wema, CCM sasa imeamua kwenda kivyakevyake na kuwatelekeza watanzania wasio wanachama wake?

Je, ni jambo lenye Tina kwa taifa kila vyama, makabila, dini na makundi mengine yapambane kivyao vyao?
 
Leo asubuhi Jumamosi 25/04 kwenye kipindi cha Magazeti TBC, msomaji alimkariri Kate Kamba kuwa CCM itatengeneza barakoa zake na kuzigawa kwa wanachama wake.
CCM ndiyo inayopokea michango toka kwa wasamaria wema, CCM sasa imeamua kwenda kivyakevyake na kuwatelekeza watanzania wasio wanachama wake? Je, ni jambo lenye Tina kwa taifa kila vyama, makabila, dini na makundi mengine yapambane kivyaovyao?

Mbona katika baadhi ya Mitandao ( siyo JamiiForums ) nimeona CHADEMA nao wana Barakao zao? Tatizo hasa liko wapi hapo?
 
Mnaposikia kuwa ccm imeshapoteza uhalali wa kutuongoza nchii hii ninyi huwa mnaelewaje? Hili ni kundi la interahamwe lililo wakalia watanzania zaidi ya milioni 40 kimabavu. Wanaweza kufanya chochote maana akili zao ndo hizo
 
Leo asubuhi Jumamosi 25/04 kwenye kipindi cha Magazeti TBC, msomaji alimkariri Kate Kamba kuwa CCM itatengeneza barakoa zake na kuzigawa kwa wanachama wake.

CCM ndiyo inayopokea michango toka kwa wasamaria wema, CCM sasa imeamua kwenda kivyakevyake na kuwatelekeza watanzania wasio wanachama wake?

Je, ni jambo lenye Tina kwa taifa kila vyama, makabila, dini na makundi mengine yapambane kivyaovyao?
Charity begins at home huwezii Anza kununulia barakoa nyumba ya jirani kabla ya familia yako Kwanza

CCM family first
 
Mbona katika baadhi ya Mitandao ( siyo JamiiForums ) nimeona CHADEMA nao wana Barakao zao? Tatizo hasa liko wapi hapo?

Hizo za Chadema zinauzwa kwa Wananchi kama nyingine zinavyo uzwa huko Madukani ,hapa Hoja ni CCM kugawa bure Barakoa kwa walio Wana Chama wake tu Mkuu.

Rudi sasa kwenye Hoja ya Msingi.
 
Charity begins at home huwezii Anza kunu nulia barakoa nyumba ya jirani kabla ya familia yako

Ni kweli kabisa Mkuu ,lakini CCM ndio wapo Madarakani na ndio wanaopokea Michango ya Wananchi wote wenye Vyama na wasio na Vyama.Kwa nini ktk ugawaji mlete Ubaguzi !?
 
Hizo za Chadema zinauzwa kwa Wananchi kama nyingine zinavyo uzwa huko Madukani ,hapa Hoja ni CCM kugawa bure Barakoa kwa walio Wana Chama wake tu Mkuu.

Rudi sasa kwenye Hoja ya Msingi.
Chadema kwa fursa ya biashara hamjambo mnadhindwa hata na ACT wazalendo chama ambacho ruzuku inapata kiduchu imetengeneza inagawa bure!
 
Hizo za Chadema zinauzwa kwa Wananchi kama nyingine zinavyo uzwa huko Madukani ,hapa Hoja ni CCM kugawa bure Barakoa kwa walio Wana Chama wake tu Mkuu.

Rudi sasa kwenye Hoja ya Msingi.

Kwani hao wana CHADEMA wakienda Kuziomba hizo za CCM ili wazivae Kujikinga na CORONA Watu wa CCM watawanyima?
 
Ni kweli kabisa Mkuu ,lakini CCM ndio wapo Madarakani na ndio wanaopokea Michango ya Wananchi wote wenye Vyama na wasio na Vyama.Kwa nini ktk ugawaji mlete Ubaguzi !?
Usichanganye serikali na CCM serikali ndio inapokea michango na pesa za yeyote pesa ziko ofisi ya waziri mkuu haziko makao makuu ya CCM

Hizo za CCM Ni za michango ya wanachama wa CCM kwenye chama
 
Chadema kwa fursa ya biashara hamjambo mnadhindwa hata na ACT wazalendo chama ambacho ruzuku inapata kiduchu imetengeneza inagawa bure!

Hoja hapa inahusu CCM usihamishe Magoli ,rudi kwenye Hoja ya Msingi.Kulikoni CCM mchukue Michango kutoka kwa Raia wote lakini ktk ugawaji mnawabagua !!?
 
Usichanganye serikali na CCM serikali ndio inapkea michango na pesa ziko ofisi ya waxiri mkuu haziko makao makuu ya CCM

Hizo za CCM Ni za michango ya wanachama wa CCM kwenye chama

Mkuu ,kwani hao Mawaziri ni wa Chama gani !? .

Au unafikiri hatukumuelewa Katibu Mkuu Bashiru juu ya unufaikaji wa kuwa na Dola. !?
 
Hoja hapa inahusu CCM usihamishe Magoli ,rudi kwenye Hoja ya Msingi.Kulikoni CCM mchukue Michango kutoka kwa Raia wote lakini ktk ugawaji mnawabagua !!?
CCM haijapokea michango kwa asiye mwanachama serikali ndio inapokea pesa kwa Kila mtu Nilesh Nani asiye means CCM ambaye kaichangia CCM itengeneze barakoa nitajie mmoja weka ushahidi hapa?
 
Back
Top Bottom