CCM Kugawa bure barakoa kwa wanachama wake

CCM Kugawa bure barakoa kwa wanachama wake

Mungu huwaangazia juwa wema na wabaya. Mungu hunyeshea mvua wema na wabaya.

Kama hili la kugawa barakoa au vitakasa mikono linafanywa/litafanywa kwa misingi ya kubaguana sio sawa.

Covid ni ungonjwa umevamia wanadamu ikiwemo Tanzania. Huu sio wakati wa kuwaokoa wanachama maana kuna ambao hawana vyama na ni Watanzania.

JPM ni mtumishi wa Watanzania sio CCM pekee. Tunakubaliana CCM kumpa JPM bendera na ILANI; ila alopokula kiapo akawa CIC kwa niaba ya Watanzania wote.

Kama mtajwa anafanya hivyo, tumkemee na kumtaka arejee kwenye misingi ya umoja wa kitaifa.

Tanzania na Utanzania ni mkubwa kuliko tofauti za vyama vya siasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo asubuhi Jumamosi 25/04 kwenye kipindi cha Magazeti TBC, msomaji alimkariri Kate Kamba kuwa CCM itatengeneza barakoa zake na kuzigawa kwa wanachama wake.

CCM ndiyo inayopokea michango toka kwa wasamaria wema, CCM sasa imeamua kwenda kivyakevyake na kuwatelekeza watanzania wasio wanachama wake?

Je, ni jambo lenye Tina kwa taifa kila vyama, makabila, dini na makundi mengine yapambane kivyaovyao?

Yes of course.

Kila mtu ashinde mechi zake
 
Leo asubuhi Jumamosi 25/04 kwenye kipindi cha Magazeti TBC, msomaji alimkariri Kate Kamba kuwa CCM itatengeneza barakoa zake na kuzigawa kwa wanachama wake.

CCM ndiyo inayopokea michango toka kwa wasamaria wema, CCM sasa imeamua kwenda kivyakevyake na kuwatelekeza watanzania wasio wanachama wake?

Je, ni jambo lenye Tina kwa taifa kila vyama, makabila, dini na makundi mengine yapambane kivyaovyao?
Tuendelee kumuomba Allah atulinde,atukinge na atuhifadhi na Ugonjwa wa Corona wa ( 800 X 640 ).jpg
 
Mbona katika baadhi ya Mitandao ( siyo JamiiForums ) nimeona CHADEMA nao wana Barakao zao? Tatizo hasa liko wapi hapo?
Uwe unasoma uelewe ...tatizo sio barakora za Nani ...suala Tata Happ Ni kugawa kwa Wana CCM!
 
Wewe ni chadema?
Leo asubuhi Jumamosi 25/04 kwenye kipindi cha Magazeti TBC, msomaji alimkariri Kate Kamba kuwa CCM itatengeneza barakoa zake na kuzigawa kwa wanachama wake.

CCM ndiyo inayopokea michango toka kwa wasamaria wema, CCM sasa imeamua kwenda kivyakevyake na kuwatelekeza watanzania wasio wanachama wake?

Je, ni jambo lenye Tina kwa taifa kila vyama, makabila, dini na makundi mengine yapambane kivyaovyao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi nchi nyingine pia vyama vya siasa navyo viko busy kuchangamkia fursa ya COVID-19 kama Tanzania?
 
Leo asubuhi Jumamosi 25/04 kwenye kipindi cha Magazeti TBC, msomaji alimkariri Kate Kamba kuwa CCM itatengeneza barakoa zake na kuzigawa kwa wanachama wake.

CCM ndiyo inayopokea michango toka kwa wasamaria wema, CCM sasa imeamua kwenda kivyakevyake na kuwatelekeza watanzania wasio wanachama wake?

Je, ni jambo lenye Tina kwa taifa kila vyama, makabila, dini na makundi mengine yapambane kivyaovyao?
Chama dola kina Ubaguzi [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa watu ni wapumbavu sana maana wanaanza kuingiza mambo ya vyama kwenye huu mlipuko wa ugonjwa. Badala kuhamasisha watu namna bora ya kujikinga wao wanataka kuleta mgawanyiko tena
 
Leo asubuhi Jumamosi 25/04 kwenye kipindi cha Magazeti TBC, msomaji alimkariri Kate Kamba kuwa CCM itatengeneza barakoa zake na kuzigawa kwa wanachama wake.

CCM ndiyo inayopokea michango toka kwa wasamaria wema, CCM sasa imeamua kwenda kivyakevyake na kuwatelekeza watanzania wasio wanachama wake?

Je, ni jambo lenye Tina kwa taifa kila vyama, makabila, dini na makundi mengine yapambane kivyaovyao?
Hatari sana. Hata sisi wasukuma tutagawa za kwetu kwa wasukuma. Zitaitwa "Mayanga".
 
Inamaana ambao sio wanachama wa sisiemu wao ugonjwa hauwakumbi!!? Tuacheni kubaguana kipindi hichi kigumu tunachopitia
 
Charity begins at home huwezii Anza kununulia barakoa nyumba ya jirani kabla ya familia yako Kwanza

CCM family first

..kwenye kupambana na covid19 ukiilinda familia yako, halafu jirani yako akiwa hajilindi na hachukui tadhari, upo uwezekano mkubwa akaambukiza familia yake.

..virusi hivi havichagui, ndiyo maana mtoto wa Mbowe aliathirika, na waziri wa ccm kule Znz aliathirika, kwa hiyo hakuna kati yetu aliye salama kumzidi mwenzake.
 
Back
Top Bottom