Ciril
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 8,558
- 7,168
Raisi ndio final .Halafu Raisi ni.mtaalamu wa kemia yuko sahihi hao wengine hawajui hata definition ya chemistry.Waulize what is chemistry .Wewe pia mbumbumbi Huna unachojua kuhusu chemistry
Umetaka Ushahidi nime kuwekea Mkuu sasa dharau na dhihaka kwangu ni za nini ?.
Rais ni final say ni sawa ila Ujinga huu ni
kwa Afrika zaidi,na ingekuwa hiyo Sumu ina madhara kwa Binadamu tayari tungekuwa tume athirika-umakini hamna hapo.